Nenda kagera, ukifika Bukoba ulizia Igabiro, kule hakuna mtandao kaandae mazingira ya kupata sato au sangara kwa bei ndogo hasa kipidi cha mvua hiki na gari yako upack bulumba ndio iwe center yako ya kukusanyia mzigo, hapo uhakikishe unapambana mwenyewe front usiagize mtu, vaa overroll ingia kazini na gloves zako za ngozi usichomwe na miiba ya samaki, soko direct utachagua Dodoma au Dar riverside pale hostel, hakikisha unakusanya mzigo wa kiwango na mabondo utauza huko huko, chapchap unakanyaga noti zako unarudi tena porini