Au andaa meza yako nzuri kubwakubwa, nenda somanga huko ndanindani maana una gari tafuta machimbo ya samaki wa bahari hao, wanunue upange kwa bei na size uhakikishe unafika dar kuanzia saa tisa au kumi watu wakiwa wanatoka kazini, unaweza kua unazunguka kama machinga na meza yako unaweza kupaki mbagala unaangalia penye watu wengi una dogo mmoja wa. Kusaidia kuwakwarua wale samaki mteja akifika bei, utaona ulinunuaje huko na wewe utauza vipi unapiga naimanikufika saa mbili au tatu unamaliza mzigo, na unabeba samaki mixer madagaa yale na unauza bei ndogo ya faida lakini uwe kwenye mzunguko, lenga maeneo ya tegeta, mbagala, kimara, gongo la mboto na uhakikshe una vibali vyako hakuna kulala unaandaa mzigo wako kwa kiwango cha juu na usafi na bei iwe reasonable kwa hakika ilutaanza kuzidiwa na order za wateja,