Nina gari yangu vitz imeanza kuishiwa maji na kuchemsha

Na unaweza kuwa na fundi wako wa milele akawa anakupotosha zaidi kikubwa ambacho mm kama muuzaji wa hivyo vilainishi ni wewe mwenye gari yako kujua na kusoma manual book za gari yako inataka uweke spare au lubricant ya aina gani full stop maana huyo mtengenezaji wa gari ndo anajua aliweka nn kwenye engine yako na kwann anakutaka wewe uweke hicho kitu anamaana kubwa sana lakini sisi wabongo wengi tumekua wabishi sana utasikia naweka tu kwa kutumia siku mbili tatu kitanisogeza kumbe hizo siku mbili umetengeneza ugonjwa mgumu sana kwenye gari yako
Na muwe makini sana na hivi vitu ambayo ni vilainishi ni mhimu sana kwenye gari kuliko kitu chochote na imeandikwa tumia maji kwa emergency tu pale ambapo umekosa coolant ila ukifika sehemu ukaipta coolant toa maji weka hata kama umeipata baada ya dakika kumi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…