Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hii ipo hata pale NITBachelor degree in automobile engineering
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ipo hata pale NITBachelor degree in automobile engineering
NIT wanatoa iyo course mda sana ila sijui wka sasaSawa, ni chuo gani wanatoa? Maana yake vyuo kama MUST, ATC na DIT wanaijumlisha na mitambo kisha inakuwa Mechanical Engineering..
Ok, sawa. Nilikuwa sijui.NIT wanatoa iyo course mda sana ila sijui wka sasa
Ushauri kafanya veta ukawe tutor maana kule hawaangalii GPAHabarini,mimi ni mwanafunzi niliyehitimu mwaka huu kozi ya ya uhandisi wa magari(degree) na nina GPA ya 2.8,, ndoto zangu siyo kufanya kazi Toyota au Scania au kampuni kubwa za magari, ila nataka na nina passion ya kuwa Tutorial Assistant wa chuo.
Sasa naombeni ushauri,ninawezaje kurekebisha(formally) ili niwe na kuanzia 3.8 ungergraduate badala ya hiyo ya 2.8 inayosoma muda huu?
Ushauri tafadhalini!
Hii hapaOk, sawa. Nilikuwa sijui.
hakuwa serious tu . hata akirudia ni kazi bure hamna kitu hizo GPA za kina mwanvita MakambaRudia kusoma tena.
Ila inaonekana ni fani ngumu sana kiasi ufaulu ni hafifu.
Hata akisoma Masters haitamuwezesha kuwa Mkufunzi wa Chuo Kikuu. Sifa ya kuwa Mkufunzi bado ipo pale pale kuwa na GPA ya 3.8 Undergraduate na GPA ya 4 Plus Masters.Ni ngumu labda urudie bsc ,ila ushauri wangu omba masters mzee kwa hio unaweza kusoma masters.
Hivi kati ya mechanical na Eletrical engineering ipi inalipa kwa sisi walalahoiSawa, ni chuo gani wanatoa? Maana yake vyuo kama MUST, ATC na DIT wanaijumlisha na mitambo kisha inakuwa Mechanical Engineering..
Duuh! Yaani aanze kusoma upya Degree ya miaka minne tena?? Labda aachanhe na hilo wazo la kuwa Mkufunzi. Atafute ti fyeza afungue kampuni ili yeye ndo awe mwajiri.Kama unataka kua lecture ultakiwa upate atleast gpa 3.5 ila inategemea na chuo. Vyuo vingine mpaka gpa 4.0 ndo wanakuconsider kukchukua.
Ushauri: kama uko serious wataka kua lecturer rudia tu io degree upate ufaulu wa juu kuhakikisha unapata qualifications.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Leo mkuu umejibu naonaga likes zako tu.We kweli mhandisi
Unataka kubadili gpa kama tairi za gari 😆