Nguvuyabwana
Senior Member
- Jun 6, 2019
- 195
- 483
Habari wakuu!
Ninazo gunia 300 za viazi vitamu vya lunzewe Geita. Naomba kama kuna mtu anafahamu bei zikoje kwa sasa ivi na maeneo ya kuuzia
Ninazo gunia 300 za viazi vitamu vya lunzewe Geita. Naomba kama kuna mtu anafahamu bei zikoje kwa sasa ivi na maeneo ya kuuzia