Nina Hali fulani kama ukungu mweupe kwenye ulimi

Nina Hali fulani kama ukungu mweupe kwenye ulimi

Idrisa1510

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
254
Reaction score
351
Nina Hali fulani kama ukungu mweupe kwenye ulimi ambao umefanya nihisi kama ulimi umeungua na chai yamoto vile.

Nimejaribu kwenda kwenye Duka la dawa nikapewa vidonge vya vitamin C.

Nimetumia Kwa siku tatu bila mafanikio zaidi nakua kama natokwa na vijidonda vya mbalimbali kwenye nyama ya ndani ya lips kitu kinachonipelekea kupata maumivu Fulani ya ulimi na kinywa especially wakat wa asubuhi.


Mwenye welewa na tatizo hili au ambaye amekwishawahi patwa na aina hii ya ugonjwa anijuze ni Aina gani ya dawa naweza kutumia for better results.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeast effection inaweza pia kuwa candida,kama unavuta fag stop kwa mda na pia hata pombe hawa wadudu wanazaana mno,
tafuna vitunguu saumu,sukutua pia kwa maji chumvi mara kwa mara ,yeast haipatani na chumvi na ni rafiki wa vitu vya sukari,
ila kama vipi uende upime
 
Yeast effection inaweza pia kuwa candida,kama unavuta fag stop kwa mda na pia hata pombe hawa wadudu wanazaana mno,
tafuna vitunguu saumu,sukutua pia kwa maji chumvi mara kwa mara ,yeast haipatani na chumvi na ni rafiki wa vitu vya sukari,
ila kama vipi uende upime
Nimekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina Hali fulani kama ukungu mweupe kwenye ulimi ambao umefanya nihisi kama ulimi umeungua na chai yamoto vile.

Nimejaribu kwenda kwenye Duka la dawa nikapewa vidonge vya vitamin C.

Nimetumia Kwa siku tatu bila mafanikio zaidi nakua kama natokwa na vijidonda vya mbalimbali kwenye nyama ya ndani ya lips kitu kinachonipelekea kupata maumivu Fulani ya ulimi na kinywa especially wakat wa asubuhi.


Mwenye welewa na tatizo hili au ambaye amekwishawahi patwa na aina hii ya ugonjwa anijuze ni Aina gani ya dawa naweza kutumia for better results.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana ikawa ni matokeo ya constipation (tatizo la kutopata choo), kwa ushauri zaidi ungeenda hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halo je umepata ufumbuzivwa tatizo la ulimi ? Binti yangu amepona alikuwa na hali kama yako halafu ukaanza kuvimba kula alikuwwa anakula ila ilikuwa inamsumbua . Nimemwambia aende pharmacy akachuke jina dawa aliyoelekezwa muhimbili. Ila inaelekea kuna uhusiano na vitamin C.. Kws hiyo nitsiweka hapa nikiipata.
 
Nina Hali fulani kama ukungu mweupe kwenye ulimi ambao umefanya nihisi kama ulimi umeungua na chai yamoto vile.

Nimejaribu kwenda kwenye Duka la dawa nikapewa vidonge vya vitamin C.

Nimetumia Kwa siku tatu bila mafanikio zaidi nakua kama natokwa na vijidonda vya mbalimbali kwenye nyama ya ndani ya lips kitu kinachonipelekea kupata maumivu Fulani ya ulimi na kinywa especially wakat wa asubuhi.


Mwenye welewa na tatizo hili au ambaye amekwishawahi patwa na aina hii ya ugonjwa anijuze ni Aina gani ya dawa naweza kutumia for better results.

Sent using Jamii Forums mobile app
388x210_Psoriasis_on_the_Tongue.jpg
BPG54A1.2e16d0ba.fill-320x213.jpg

1 2
C0017334-Oral_thrush-SPL_1.2e16d0ba.fill-320x213.jpg

3

tatizo lako linafanana na pich namba ngapi?
 
Wewe utakuwa unaishi Dar.

Dar kuna tatizo kubwa sana la lishe.

Nenda Pharmacy kanunue vidonge vya "Vitamin B Complex" utumie.

Usipopona kapime "Ngwengwe".
🤣🤣🤣😂kweli wee ni mkaruka!
 
Back
Top Bottom