Mimi niliwahi kufanyia pale field huwa wanafuga wanyama wa porini na wa kufungwa wakiwemo ngamia na farasi,, hao wa kufunga ni kwa ajili ya utalii pamoja na biasharaKwani yanauzwa zoo au??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliwahi kufanyia pale field huwa wanafuga wanyama wa porini na wa kufungwa wakiwemo ngamia na farasi,, hao wa kufunga ni kwa ajili ya utalii pamoja na biasharaKwani yanauzwa zoo au??
Farasi wanauzaje?? 😕😕Mimi niliwahi kufanyia pale field huwa wanafuga wanyama wa porini na wa kufungwa wakiwemo ngamia na farasi,, hao wa kufunga ni kwa ajili ya utalii pamoja na biashara
Aisee usikute kuna maziwa ya nguruwe na mimi sijui....
Kazi kweli kweli/jobtruetrue
😂😂 Aisee hapo nafikiri uwatafute wenyewe watakwambia japo farasi sina uhakika kama wanauza sana sana nilikuwa naona ng'ombe,mbuzi,samaki,kuku,bata,maziwa,mayai n.k...kuhusu bei sijui..kama ukihitaji unaweza kiwatafuta maana nilifanya field muda kidogo umepita kwahiyo huenda pia labda kuna mambo yameshabadilika🤗Fa
Farasi wanauzaje?? 😕😕
Daaah aisee nimejaribu kuassume kipanga85 Anajaribu kukamua maziwa kwa nguruwe 😂😂😂Maziwa ya nguruwe ni ngumu kuyapata sababu Nguruwe mtata sana, huwezi kumkamua kizembe na hata ukifosi ukatoboa bado itakuwa biashara kichaa coz hutoka kidogo sana ambayo kibiashara ni chenga
Enhee kwahiyo lita shingapi😂😂 Aisee hapo nafikiri uwatafute wenyewe watakwambia japo farasi sina uhakika kama wanauza sana sana nilikuwa naona ng'ombe,mbuzi,samaki,kuku,bata,maziwa,mayai n.k...kuhusu bei sijui..kama ukihitaji unaweza kiwatafuta maana nilifanya field muda kidogo umepita kwahiyo huenda pia labda kuna mambo yameshabadilika🤗
Msikiti wa idrisa huu wa msimbazi ?Kama upo Dar Nenda kariakoo jengo linalotazamana na gate la msikiti wa Idrisa 24/7 yapo available
Nguvu za mwili tu mkuuOukay 🤔,. Za kiume au?
Huo huoMsikiti wa idrisa huu wa msimbazi ?
Eeee pale, ukija ntext nkuwekee bill ya Mwaka mzimaMsikiti wa idrisa huu wa msimbazi ?
SawaNguvu za mwili tu mkuu
Kwa ubora inasemekana yanaanza maziwa ya mbuzi...then ngamia...then ng'ombe....kama kuna sehemu yanauzwa ya mbuzi tuambizaneYanaongeza sana nguvu
SawaEeee pale, ukija ntext nkuwekee bill ya Mwaka mzima
Njoo IringaNina hamu ya kuonja maziwa ya Ngamia; najua Tanzania hatuna ngamia wengi kama Kenya au Somalia na Ethiopia ila wapi hapa Dar naweza nunua maziwa ya Ngamia?
Msaada wana Jamii
Kwa ubora inasemekana yanaanza maziwa ya mbuzi...then ngamia...then ng'ombe....kama kuna sehemu yanauzwa ya mbuzi tuambizane