kwani ww si mwana JF, maana hiyo offer ni kwa wana JF woteNaruhusiwa kuwa kwenye jumuiko hilo Denovo?????
mnisamehe mtandao ulikata
on my way to kontena
wAKUU
leo nina hamu sana ya kupata nyama ya kuku ya kuchoma au samaki wa foil nikiwa na wana JF
kama Kawa Geoff yuko fasta sana; lakini naomba leo tuwe wengi kidogo tushushie na fanta za baridi au serengeti ya uvuguvugu; na pesa inaruhusu, basi tuchape na red label
mko available au tuahirishe?
DN
tena wewe ndio usiseme... jana ilikua trela na leo lazma ntakua pale RG kupata changu wa kuchoma
MSIKOSE