Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nendq hospital mkuuShida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa [emoji24][emoji24]
Unapata na shida gani nyengine kabla ya hapo ?Shida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa [emoji24][emoji24]
Tangulia mkuu.Shida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa ππ
Pole mkuu.Unatoa hoja halafu unachangia kama masihara.Anyway,matabibu watakupa ushauri/tiba ifaayo.Nalia sana π
Tumbo kuunguruma πUnapata na shida gani nyengine kabla ya hapo ?
Huna maana kabisa.Hebu mpe ushauri kitiba aisee!Tangulia mkuu.
Chumvi umeila si haba.
Usisahau tu kuacha mirathi.
Buriani kamanda!.
Pole sana ndugu yangu. Tafadhali huu muda unaoutumia hapa nenda hospitali, ukija tena hapa uwe ni umetoka hospitali tayari.Shida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa ππ
Ngoja niwahi πAmoeba iyo wahi Hospital ukapime
Bora uwahi hospital man isije kuwa vidonda vimetibukaShida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa ππ
Vidonge au vidonda?Bora uwahi hospital man isije kuwa vidonge vimetibuka
Vidonda mkui ni typoVidonge au vidonda?
Asante sana babu ukiona nimepotea jukwaani ujue nimevuta ππππUgonjwa wa kuhara (uliojulikana kama kuhara damu au kuharisha damu ) ni maradhi yanayotokana na machafuko ya ini ......( Kwa mujibu wa Wikipedia)
Huenda pia ikawa ni dalili ya vidonda vya tumbo vilivyo kwenye stage ya juu ( Kwa mujibu wa Dokta Mwaka)
Nashauri uwahi hospitali Kwa vipimo zaidi
Binafsi nakuombea upate nafuu haraka ππππ
Kuvuta tena?Usivute sigara aisee!Asante sana babu ukiona nimepotea jukwaani ujue nimevuta ππππ