Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa mwanaume kuna makatazo mengi sana.Dah!Pole kwa kuumwa ila mtoto wa kiume kutumia vi imoji imoji na kulia lia kama mtoto wa kike kwenye jambo la serious, unakaribisha bleed
You are too young to die on that ageAsante sana babu ukiona nimepotea jukwaani ujue nimevuta 😭😭😭😭
Naogopa kakaPole kwa kuumwa ila mtoto wa kiume kutumia vi imoji imoji na kulia lia kama mtoto wa kike kwenye jambo la serious, unakaribisha bleed
Asante sana babuYou are too young to die on that age
God has plan with you, please make him your number one in each and everything you do
Uruhusu Ulimi wako ukunenee mema Siku zote🙏
Si dalili nzuri ila pia usimrahisishie shetani kazi. Weka bando Leo jioniShida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa 😭😭
Amen MjukuuAsante sana babu
Asante mkuuSi dalili nzuri ila pia usimrahisishie shetani kazi. Weka bando Leo jioni
Kuna Semina ya Mtumishi wa Mungu Elibariki Sumbe Ingia You tube Andika Elibariki Sumbe au Vuka Yordan
4:00pm Wewe mfuatilie. Utatuletea ushuhuda hapa. Sina mashaka na hilo kabisa. Asante
pole ndungu,Shida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa 😭😭
Asante sana kakapole ndungu,
usihofu maradhi ni kawaaida kwa binadamu hilo fahamu. Check na daktari mapema leo, Amini Mungu, na kwa neema na baraka zake, utapokea uponyaji wa hakika wa tatizo lako bila tashwishwi yoyote 🐒
Huna maana kabisa.Hebu mpe ushauri kitiba ais
Kka naomba nisaidie namba yako ninashida kama yako nateseka sanaShida ilinianzia jana jioni nikatanguliza choo cha kawaida baadae ikaanza choo chenye makamasi yenye damu shida Itakuwa Nini au ndio Dalili za kuvuta hizi wiki hii nimekuwa nikisumbuliwa sana na tumbo pia Nina vidonda vya tumbo ila sio chronic jana na Leo ninateseka sana soon nakufa 😭😭
Pole sana mkuu Mimi nilipima choo na nikaaambiwa Nina amoeba now nimeshaponaKka naomba nisaidie namba yako ninashida kama yako nateseka sana
maneno haya sio mazuri kwa mtu anayehitaji faraja na ushauri unaweza kumsaidia, Jifunze kuheshimu utu, ili na wengine wakuheshimu. Hivi ninyi vitoto vya 2000 mkoje?Tangulia mkuu.
Chumvi umeila si haba.
Usisahau tu kuacha mirathi.
Buriani kamanda!.