Nina hofu huenda nimeambukizwa UKIMWI, Naombeni ushauri wenu jamani!

Onguluo

Hauna ukimwi ndugu yangu....kama kwako imeshindikan kuonekana basi kwa huyo mama ungeonekana... magonjwa siku hizi ni mengi na yanatisha.. Huo ugonjwa wako hujakutana na mtaalamu wake. Nenda hospital kubwa ukahudumiwe vizuri...

Mimi nilikuwa na ugonjwa unanisumbua kila nikifanya vipimo naambiwa sina tatizo mpaka nkaamua kwenda kupima HIV lakini niko vizuri, mpaka juzi nimekutana na mtaalamu Prof. aliebobea kwenye magonjwa yangu na amegundua nina tatizo na nimeanza kutumia dawa rasmi ya huo ugonjwa....tafuta mtaalamu hasa!
 
Last edited by a moderator:
Hutakuwa wa kwanza kupata maambukizi, utapaswa kuishi kwa matumaini. Nasema hivyo kwa sababu unataka kuamini na kutuaminisha kuwa una maambukizi, itafaa ijilaumu sana kwani elimu juu ya njia za kujikinga dhidi ya maambukizi hutolewa mpaka kwa Wanafunzi wa chekechea sijui ulisafiri kwenda mars elimu ikakupita!!!!!!!!!
 
yani hujawahi kukutana na mpenzi wako kimwili, halafu unamvulia chupi janamke, nimekudharau sana, na ningekua na namba ya huyo mpnz ningemwambia akupige kibuti tu, huoni hata aibu lo!

Akipigwa kibuti kisha akuchukue wewe au?
 
Duuuuhh kwanza kupma ni jambo kubwa sana na pili ni vyema ukaendekea kujipa matumain more an more koz wengi walioadhrka hufa kwa stress na sio HIV soo tengua mawazo that unao songa mbele bhaana
 
Ukiona mtu anaenda kupima mara mbili mbili ujue kuna jibu analitafuta haya bhas unao.... Umeridhika inaonekana we sio player kabisa unauza mechi mda mfup hivyo unawaswas
 
Kinacho kutesa ni uoga wa ugonjwa "the fear of illiness"

~ni tatizo la kisaikolojia umejenga picha ya UKIMWI kwenye akili yako.hivyo hata ukipatwa na tatizo dogo la kiafya unalikuza kulingana na imani yako juu ya ugonjwa wa UKIMWI "beliefs"

~Jaribu kujiamini na kuikataa hali hiyo kwa kujenga fikra chanya...
UKIMWI siyo dengue ama ebola uuupate siku hiyo hiyo na dalili zionekane siku inayofuata

~nenda kapime afya yako kwa ujumla ujue chanzo cha tatizo...alafu urudi kutupa mrejesho hapa.
 
Magonjwa ya zinaa sio HIV pekee. Nenda ukapime hali yako ya kiujumla ya afya.
 
Virusi vinaweza kuonekana baada ya miezi mitatu, subiri kwa muda wa miezi mitatu baada ya tendo, kama muda huo umepita, umepima na umejikuta negative then you are negative. Ila umesema kwamba mlienda wote kupima na wote mkawa negative kwaiyo kama yeye hana then hawezi akawa amekuambukiza chochote, labda ni STI nyingine ambayo sio HIV, stop panicking. Play it safe from now on man,,,,
 
ucogope kijana hayo yapo, kwa kuwa tu ulikumbuka kutubu bwana yu pamoja nawe hivyo usiwe na woga wala hofu yoyote juu ya afya yako uko vzuri tu hata ucjal. Bwana akubariki. Soma Upate Ushindi,Isaya 53:3
 

Hivi unajua uoga unaua?
Kula nyama ya ng'ombe ugenini halafu mwenyeji wako chizi akudanganganye hiyo ni nyama ya nyoka uone kama hutaharisha kwa hofu mpaka uishiwe maji kama sio kufa.
 
Kapime mpwa hapo ndio jibu sahihi utalipata kuliko hivyo unateseka moto mbona sio dili tena siku hizi
 
Onguluo unajitesa bila sababu uoyote, hebu tulia ma urudie vopimo baada ya miezi mitatu, kama utakuwa -ve then utakuwa unasumbuliwa na matatizo mengine nje ya VVU.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…