Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Lakini wewe si utatangulia mkuu?Kifo ni cha kila mtu mkuu
Ha ha haa ila sio kwa ugonjwa ulionaoUnaweza ukatangulia wewe pia
Ulikula Tunda Kimasihara.Habari wakuu
Jana niliruka na dem mmoja ambaye kiukweli simuamini hali yake kiafya, ofcourse tulitumia ndom ila katika kumshika shika baadae nilikuja kukumbuka kuwa nina kidonda kidogo kibichi ( open wound )kwenye kidole changu cha mkono wa kulia.
Napata hofu sana nikihofia huenda nitakuwa nimegusana nae japo sikumbuki vizuri kama nilimshika sehemu zake za siri kwa mkono wa kulia.
Nahitaji kuanza PEP naombeni muongozo wa namna ya kuzipatana wapi.
Natanguliza shukrani [emoji881]
Acha Hofu Dogo kama hujapima Oil hakuna kitu.Napata hofu sana nikihofia huenda nitakuwa nimegusana nae japo sikumbuki vizuri kama nilimshika sehemu zake za siri kwa mkono wa kulia.
Wahi pep acha ujinga weweWe acha tu mkuu nimekosa amani tangu jana usiku
She just a hook up girl, we met online
Pole mkuu, I know this feelings.Habari wakuu
Jana niliruka na dem mmoja ambaye kiukweli simuamini hali yake kiafya, ofcourse tulitumia ndom ila katika kumshika shika baadae nilikuja kukumbuka kuwa nina kidonda kidogo kibichi ( open wound )kwenye kidole changu cha mkono wa kulia.
Napata hofu sana nikihofia huenda nitakuwa nimegusana nae japo sikumbuki vizuri kama nilimshika sehemu zake za siri kwa mkono wa kulia.
Nahitaji kuanza PEP naombeni muongozo wa namna ya kuzipatana wapi.
Natanguliza shukrani [emoji881]