Nina huduma ya kwenda kufunga mzigo kama ni Kariakooo au popote Dar

Nina huduma ya kwenda kufunga mzigo kama ni Kariakooo au popote Dar

Roseyree

Member
Joined
Oct 16, 2024
Posts
42
Reaction score
78
Jaman mimi ni bint nimemaliza chuo na ni laboratory technologist proffesional naomba msaada wa connect ya kazi plz jsman nipo Dar es salaam mbezi Magufuli.

Pia nina huduma hizi kwa waliopo mikoani na watakaka kununua bidhaa dar es salaam popote
  • Nina huduma ya kwenda kufungia mzigo kama ni kariakooo au popote dar nakufatia mzigo wako na kukuhakikishia uko na quality unayotaka.
  • Pia nina huduma ya kukutafutia masoko ya jumla mfano nguo nzuri za mtumba ukihitaj nakutaftia kwa bei nafuu magaui yapo kwa jumla kuanzia sh elf 3 unapata gauni kwa jumla ambalo unaweza kwenda kuuza hadi sh 15 au zaidi
  • Kama unahitaj msaada wowote kuhusu kununua bidhaa dar na upo mbali niamini nitakusaidia jaman Uaminifu ni kitu cha muhimu zaidi kwangu
Namba yangu ni 0625056158 karibuni niwahudumie

View attachment 3133147
 
Jaman mimi ni bint nimemaliza chuo na ni laboratory technologist proffesional naomba msaada wa connect ya kazi plz jsman nipo Dar es salaam mbezi Magufuli.

Pia nina huduma hizi kwa waliopo mikoani na watakaka kununua bidhaa dar es salaam popote
  • Nina huduma ya kwenda kufungia mzigo kama ni kariakooo au popote dar nakufatia mzigo wako na kukuhakikishia uko na quality unayotaka.
  • Pia nina huduma ya kukutafutia masoko ya jumla mfano nguo nzuri za mtumba ukihitaj nakutaftia kwa bei nafuu magaui yapo kwa jumla kuanzia sh elf 3 unapata gauni kwa jumla ambalo unaweza kwenda kuuza hadi sh 15 au zaidi
  • Kama unahitaj msaada wowote kuhusu kununua bidhaa dar na upo mbali niamini nitakusaidia jaman Uaminifu ni kitu cha muhimu zaidi kwangu
Namba yangu ni 0625056158 karibuni niwahudumie

View attachment 3133147
Hongera san, umesema unaweza kununuA gauni kwa elf 3 ukauza kwa elf 15, sasa unaonaje ukaja nikakupatia Laki 5 ufanye hiyo biashara uachane na kulalamika ajira za kuajiriwa?
 
Nimekuzoom Roseyree! Unaonekana kweli ni binti mwaminifu, mpambanaji, mrembo na msomi. Kwa ufupi tu nimesave namba yako, ili siku nikija mjini unisaidie kuyafikia hayo machimbo.
 
Naomba unitumie magauni 100 yakifika nakutumia hela. Niko Mwanza,niamini ,uaminifu ni kitu cha muhimu kwangu. Pia Nina hofu ya Mungu ninaomba unitumie hata gauni 50 ukishindwa mia moja
Nipe namba yako au tuwasiliane 0625056158
Hongera kwa idea uliyokuja nayo.

Roseyree ukimsoma Ego is the Enemy between the line, Kuna kitu anataka kukueleza ila hajapata njia sahihi ya kukueleza,

Pia fanyia kazi wazo la Jaji Mfawidhi, Mnaweza fanya patnaship kwenye biashara, ni vyema ukakutana naye makayajenga jinsi gani mtashirikiana.
 
Back
Top Bottom