Bongo Trust
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 253
- 247
Habari zenu wana jukwaa. Kama nilivyo eleza kwenye kichwa cha post, mimi ninayo idea na uwezo wa utunzi wa hadithi na mashairi, hivyo naomba mwenye kujua jinsi ya kuweza kuutumia ujuzi huu kwa manufaa zaidi ili iweze kunisaidia.
Niliwahi kufikiria kuchapisha vitabu nikaviuze ila nikaona cost zake ni kubwa sana hivyo naomba kama kuna mbinu nyingine basi mnisaidie.
Natanguliza shukrani [emoji120]
Niliwahi kufikiria kuchapisha vitabu nikaviuze ila nikaona cost zake ni kubwa sana hivyo naomba kama kuna mbinu nyingine basi mnisaidie.
Natanguliza shukrani [emoji120]