Nina imani na Simba, nina imani na Musa Camara

Nina imani na Simba, nina imani na Musa Camara

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Pamoja na kupoteza mechi ya leo tumecheza vizuri tunakosa quality maeneo ya pembeni. Joshua mutale na kibu hamna kitu, ahoua bado anahitaji kuimprove game yake.

Pamoja na musa camara"spiderman" kufanya makosa bado nina imani naye na ninamkubali vibaya mno na nnamuomba fadlu aendelee kumchezesha mpaka siku ya kiama.

Nipo na Simba yangu mpaka initoe damu, mpaka iniue. Nimeipenda mwenyewe niacheni iniue.
 
Hakuna timu hapo ya kushindana na yanga nyie ushindani upo kwenye kutunga maneno kama ubaya ubwela,😂🤣😂🤣😂😂
 
Pamoja na kupoteza mechi ya leo tumecheza vizuri tunakosa quality maeneo ya pembeni. Joshua mutale na kibu hamna kitu, ahoua bado anahitaji kuimprove game yake.

Pamoja na musa camara"spiderman" kufanya makosa bado nina imani naye na ninamkubali vibaya mno na nnamuomba fadlu aendelee kumchezesha mpaka siku ya kiama.

Nipo na Simba yangu mpaka initoe damu, mpaka iniue. Nimeipenda mwenyewe niacheni iniue.
Hii ni yetu milele na milele
 
Pamoja na kupoteza mechi ya leo tumecheza vizuri tunakosa quality maeneo ya pembeni. Joshua mutale na kibu hamna kitu, ahoua bado anahitaji kuimprove game yake.

Pamoja na musa camara"spiderman" kufanya makosa bado nina imani naye na ninamkubali vibaya mno na nnamuomba fadlu aendelee kumchezesha mpaka siku ya kiama.

Nipo na Simba yangu mpaka initoe damu, mpaka iniue. Nimeipenda mwenyewe niacheni iniue.
Naunga mkono hoja.

From no where kiongozi MAGORI ANAONGEA KAMA MNYWA CHIMPUMU ALL IN ALL FOOTBALL GAME huwa Kuna matokeo ya kikatili.
 
Camara alifanya kosa gani? Ulimpira si ulidundia nje? Man of the match alikuwa Kayoko
 
Pamoja na kupoteza mechi ya leo tumecheza vizuri tunakosa quality maeneo ya pembeni. Joshua mutale na kibu hamna kitu, ahoua bado anahitaji kuimprove game yake.

Pamoja na musa camara"spiderman" kufanya makosa bado nina imani naye na ninamkubali vibaya mno na nnamuomba fadlu aendelee kumchezesha mpaka siku ya kiama.

Nipo na Simba yangu mpaka initoe damu, mpaka iniue. Nimeipenda mwenyewe niacheni iniue.
Mpira wa TZ nikituko,Simba alikua mwiba sana miaka 4 iliopita,alichofanya yanga nikuchukua na kupata mbinu simba anazotumia mpk akawa bora then wakavurugwa mnoooo,wakagombana wenyewe na kuelewana simba kitimu bado sana ila wachezaji wapo,msimu huu wajitahidi waende champions league then next season wawaze ubingwa ila msimu huu hicho kitu hawawezi,GSM anatumia nguvu kubwa sn kibiashara kuhakikisha simba/Mo hachimozi mpk uchawi unafanywa ili waweze wini,vita ya TZ kubwa sn kwakua haipo uwanjani tu mpk kwenye biashara zao
 
Back
Top Bottom