Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto unakusumbuaunataka nikunyoe mi siwezi mkuu mtafute pdiddy
viongozi wa simba wapuuzi sanaMpira wa TZ nikituko,Simba alikua mwiba sana miaka 4 iliopita,alichofanya yanga nikuchukua na kupata mbinu simba anazotumia mpk akawa bora then wakavurugwa mnoooo,wakagombana wenyewe na kuelewana simba kitimu bado sana ila wachezaji wapo,msimu huu wajitahidi waende champions league then next season wawaze ubingwa ila msimu huu hicho kitu hawawezi,GSM anatumia nguvu kubwa sn kibiashara kuhakikisha simba/Mo hachimozi mpk uchawi unafanywa ili waweze wini,vita ya TZ kubwa sn kwakua haipo uwanjani tu mpk kwenye biashara zao
Maneno hayo,umpelekee magoli sijui kama atakuelewa maana ametoa povu la maana kwa kamara.Pamoja na kupoteza mechi ya leo tumecheza vizuri tunakosa quality maeneo ya pembeni. Joshua mutale na kibu hamna kitu, ahoua bado anahitaji kuimprove game yake.
Pamoja na musa camara"spiderman" kufanya makosa bado nina imani naye na ninamkubali vibaya mno na nnamuomba fadlu aendelee kumchezesha mpaka siku ya kiama.
Nipo na Simba yangu mpaka initoe damu, mpaka iniue. Nimeipenda mwenyewe niacheni iniue.
Kinyonge sana safari hii mkuu!!! 😂😂😂Nakuunga mkono...tuko pamoja...
Yanga ni nini??Mungu atawajibia maombi yenu ila sio kwa Yanga.
Litimu fulani likubwa hiviYanga ni nini??