Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

Status
Not open for further replies.
Hmmmm! ipi ambayo mwenyewe ungependa kuitumia maishani mwako moja au zote? Kuliwahi kuwa na uzi humu wa jamaa ambaye alikuwa na dada yake baba mmoja mama mmoja na maishani mwake siku zote alijua dada yake ni mwanamke. Na alikuwa na mashoga zake ni warembo sana na mdogo mtu wa kiume hadi wengine kuwamezea mate. siku moja wawili wakaja kumtembelea dada yake nyumbani kwao na yeye akiwepo. Kisha hao wakatokomea chumbani. Mdogo mtu hakuona cha ajabu maana kwa mashoga walioshibana kuingizana chumbani si kitu cha ajabu hata kidogo. Baadaye kukaanguka varangati la kukata na shoka kule chumbani, mdogo tu akavumilia lakini uvumilivu ukamshinda maana kelele zilizidi kuongezeka na akaona asije kuumia mtu au hata kufa hivyo akaamua kuingia kule chumbani kwa nguvu na ndipo kumkuta dada yake akiwa uchi wa nyama huku dushe limesimama. Inawezekana details haziko 100% accurate lakini huo uzi umo humu na kama kumbukumbu zangu ni nzuri ulipata wachangiaji wengi sana.

Anaitwa LIKUD, mkuu umeandika kama vile umeisoma juzi.
 
Sio kweli hauna hiyo kitu.

Kimaumbile unapokuwa umezaliwa hivyo unakuwa msiri sana na unamuambia mpenz wako yule anaekupenda na kukujali huku ukitetemeka na hofu ya hali ya juu ukiwa unampa ukweli.

Shemale hawapo hivyo hawana tupu za mbele zote mbili..ila wapo na maumbile ya kike kama vile maziwa, sauti na hormon za kike lakini anakuwa na penis tu upande wa mbele.

Umesema zote 2 zinafanya kazi sio kweli coz Kuna wanawake ambao wanayo ya kiume kwa juu ila ni kijidogo sana kama ya mtoto mdogo ila haifanyi kazi.

Kuna maswali ya wadau hapo juu unayakimbia huja jibu kwa sababu haupo hivyo na huwajui vizuri hao watu ila umeitunga tu story..

hata ukiingia nae ndani kabla hujafanya chochote kwake anakuambia ukweli..una kifua?? Utanitunzia siri?
Unakataa wakati wa uumbaji wake ulishiriki!?!?!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi Wa kweli, Mimi ni mwanamke mrembo lakini Nina jinsia mbili ya like Na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.nipo serious . asanteni
sasa hujasema unataka ipi ndio shida na ipi ipo active?
 
Usikate tamaa kabisa.... Mwenza utampata lakini mbona umesubiri sana kufungua!?!?
Another thing God works in mysterious ways and through you na Imani ametaka tujifunze ili wenye hali kama hii wasijione wapweke.
Asante kwa kujiamini.
Kulingana na maelezo yako umejaaliwa kupewa uume na nyapu. Ni ujasiri wa hali ya juu kuamua kutumia nyapu. you deserve to be a woman and a mother the choice you made choice speaks for itself.
Hope you get a man to love you unconditionally. All the best mrembo.
 
People mmeanza kuchanganya kati ya Hermaphrodite na Shemale,

Hermaphrodite ni mtu ambae ANAZALIWA na jinsia zote mbili ambazo zinaweza zote kufanya kazi au moja.

Shemale ni MWANAUME ambae amefanya upasuaji na kuwekewa matiti, makalio, nywele, sauti, n.k VYA KIKE ila 'dushe' linabaki vile vile so anaweza kugegedwa na midume au kumgegeda mwanamke.

So huyo dada sio SHEMALE ni HERMAPHRODITE.

Hermaphrodite siyo kwa watu tu hata kwa viumbe wengine wenye jinsia zote mbili kwa pamoja.
 
Pole sn ndugu kwan ulishawahi kuonana na madaktari kipindi ulipobain hiyo hali? Na je kipind ulipozaliwa doctor hyo hali aliisemaje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom