SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
Zote
Kama zote, hayo majanga sasa..inabidi moja iondolewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zote
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi Wa kweli, Mimi ni mwanamke mrembo lakini Nina jinsia mbili ya like Na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.nipo serious . asanteni
nimekaa nikajiuliza huyo mtu mfumo wa uzazi wake umeumbwaje?nikweli.mungu fundi anaweza fanya atakavyo ila hapo bado mh kuna ukakasi.kama huyo mwanaume alipataje mimba mzunguko wa hedh anaupata kupitia njia gani?Kuna mwanaume ambaye amewahi kujifungua huko bara la Asia kama nakumbuka vizuri....inawezekana kweli,,, but anaonekana hataki kufunguka zaidi anaongea kifupi tu
Huyo mwanaume alizaliwa kama mwanamke kamili. Baadaye akatumia homoni zenye vichocheo vua kiume na kuanza kumbadilisha saiti na kuanza kuota ndevu. Then akafanyiwa operation ya kuondoa matiti bila kuathiri mfumo wake wote wa uzazi. Kwa hiyo alibakiwa na uke na mji wa mimba kama wanawake wengine.nimekaa nikajiuliza huyo mtu mfumo wa uzazi wake umeumbwaje?nikweli.mungu fundi anaweza fanya atakavyo ila hapo bado mh kuna ukakasi.kama huyo mwanaume alipataje mimba mzunguko wa hedh anaupata kupitia njia gani?
alah kumbe ni.kina maico jako?hao sawa sasa huyu dada yetu na yeye aseme wazi kama alijibadilisha au ndo mapenzi ya mungu.Huyo mwanaume alizaliwa kama mwanamke kamili. Baadaye akatumia homoni zenye vichocheo vua kiume na kuanza kumbadilisha saiti na kuanza kuota ndevu. Then akafanyiwa operation ya kuondoa matiti bila kuathiri mfumo wake wote wa uzazi. Kwa hiyo alibakiwa na uke na mji wa mimba kama wanawake wengine.
Tafadhali Mkuu Nitumie PM Namba Yako Haraka!!!Habarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
Sasa Dada yangu watu sio wanakukebei bt watu wanataka wajue ipi iko aActive dushe au papuchi cx hata Mimi lazima ni dout sasa mfano tukiwa kwenye bed alafu unijeukeNaona wengine wananikebehi, jamani sio utani Na nahitaji msaada
Ongeza jinsia ya Tatu hapo utawapata wengiHabarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
Daa! ndio bahati zenyewe hizi .... hebu nicheki chemba bibie tuweke mpango kazi, majibu ya maswali yote nitakuja kuyapatia hapo hapo.Habarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
ni PMNaona wengine wananikebehi, jamani sio utani Na nahitaji msaada