Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

Status
Not open for further replies.
Habarini za jioni wana jamii wenzangu,

Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.

Nipo serious,asanteni
Ww unataka mweza wa nn wakat Machine Zote zpo Activate...... Jigonge mwnyw 2
 
Hmmmm! ipi ambayo mwenyewe ungependa kuitumia maishani mwako moja au zote? Kuliwahi kuwa na uzi humu wa jamaa ambaye alikuwa na dada yake baba mmoja mama mmoja na maishani mwake siku zote alijua dada yake ni mwanamke. Na alikuwa na mashoga zake ni warembo sana na mdogo mtu wa kiume hadi wengine kuwamezea mate. siku moja wawili wakaja kumtembelea dada yake nyumbani kwao na yeye akiwepo. Kisha hao wakatokomea chumbani. Mdogo mtu hakuona cha ajabu maana kwa mashoga walioshibana kuingizana chumbani si kitu cha ajabu hata kidogo. Baadaye kukaanguka varangati la kukata na shoka kule chumbani, mdogo tu akavumilia lakini uvumilivu ukamshinda maana kelele zilizidi kuongezeka na akaona asije kuumia mtu au hata kufa hivyo akaamua kuingia kule chumbani kwa nguvu na ndipo kumkuta dada yake akiwa uchi wa nyama huku dushe limesimama. Inawezekana details haziko 100% accurate lakini huo uzi umo humu na kama kumbukumbu zangu ni nzuri ulipata wachangiaji wengi sana.
Kweli huo uzi upo huku huyu mtu hayupo detail kabisa
 
Hmmmm! ipi ambayo mwenyewe ungependa kuitumia maishani mwako moja au zote? Kuliwahi kuwa na uzi humu wa jamaa ambaye alikuwa na dada yake baba mmoja mama mmoja na maishani mwake siku zote alijua dada yake ni mwanamke. Na alikuwa na mashoga zake ni warembo sana na mdogo mtu wa kiume hadi wengine kuwamezea mate. siku moja wawili wakaja kumtembelea dada yake nyumbani kwao na yeye akiwepo. Kisha hao wakatokomea chumbani. Mdogo mtu hakuona cha ajabu maana kwa mashoga walioshibana kuingizana chumbani si kitu cha ajabu hata kidogo. Baadaye kukaanguka varangati la kukata na shoka kule chumbani, mdogo tu akavumilia lakini uvumilivu ukamshinda maana kelele zilizidi kuongezeka na akaona asije kuumia mtu au hata kufa hivyo akaamua kuingia kule chumbani kwa nguvu na ndipo kumkuta dada yake akiwa uchi wa nyama huku dushe limesimama. Inawezekana details haziko 100% accurate lakini huo uzi umo humu na kama kumbukumbu zangu ni nzuri ulipata wachangiaji wengi sana.
Nami nakumbuka niliusoma lakin sio kwamba ilikua ni story tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mdau hii mambo ya transgender huwa naskia tu na kusoma naomba kama inawezekana please tuweke na ulinzi mimi nikuchungulie tu yaani sio natania ujue hivi vitu sio vya nchi hii kabisa

(nitoE ushamba) ndugu yangu IKISHINDIKANA KABISA NAOMBA NIWE JUST FRIEND
 
Pole sana ila natamani ueleze kama zote ni active, iweje uamue kuwa unamtaka mwenza wa kiume?? Huoni hapo ni hatari kuwa waweza siku asipokutimizia kisawasawa ukam nanihinoo? Pili, ni ipi iko juu ya nyingine? Kwani kuna wengine dume iko juu ya k hata kojoo hutokea k. Haya ni mambo ya kuangalia ili weye usimchukie mwenzio atakaye jitosa.

yaani hapo ndipo mimi hofu yangu kubwa ilipo
 
Naona wengine wananikebehi, jamani sio utani Na nahitaji msaada
As a sign of good faith, kwamba you are not making up a story, tuwekee Picha, halafu useme unataka mpenzi mume au mke, lakini pia useme unaridhika na Hali hiyo au utataka msaada wa upasuaji kimatibabu. Ahsante
 
Wengine mnauliza maswali ambayo alishayajibu. AMESEMA ZOTE ZIPO ACTIVE kwa KISWAHILI ZOTE ZINAPIGA KAZI/ZINAFANYA KAZI. kwa hiyo anaamua tu muda huu atumie Ipi kati ya hizo mbili. kwa hiyo hapo kawatega tu kusema anatafuta mtu wa kumwoa. maana unaweza kuwa naye room mzuka ukampanda wa ile nyingine basi naye akataka akurudishie. au unaweza ukapiga kazi akaona unapiga kazi kizembe akakwambia sasa inama nikuoneshe sisi wenzio tukiamua kula issue tunakulaje. ...hivyo uwe tayari kwa lolote. mi dada naweza kabisa kukuoa ila kabla ya ku do twende hospital ile moja iondolewe nguvu maana sitopenda tuwe ndani halafu wote tunasimamisha. itakuwa issue yenye utata kiasi. au kama sivyo basi tukiwa pamoja kama ukiamua siku hiyo unaleta na wewe demu tunapiga wote. ila ukitaka kuliwa nakula mimi. unasemaje kwa hilo wazo?
 
Wengine mnauliza maswali ambayo alishayajibu. AMESEMA ZOTE ZIPO ACTIVE kwa KISWAHILI ZOTE ZINAPIGA KAZI/ZINAFANYA KAZI. kwa hiyo anaamua tu muda huu atumie Ipi kati ya hizo mbili. kwa hiyo hapo kawatega tu kusema anatafuta mtu wa kumwoa. maana unaweza kuwa naye room mzuka ukampanda wa ile nyingine basi naye akataka akurudishie. au unaweza ukapiga kazi akaona unapiga kazi kizembe akakwambia sasa inama nikuoneshe sisi wenzio tukiamua kula issue tunakulaje. ...hivyo uwe tayari kwa lolote. mi dada naweza kabisa kukuoa ila kabla ya ku do twende hospital ile moja iondolewe nguvu maana sitopenda tuwe ndani halafu wote tunasimamisha. itakuwa issue yenye utata kiasi. au kama sivyo basi tukiwa pamoja kama ukiamua siku hiyo unaleta na wewe demu tunapiga wote. ila ukitaka kuliwa nakula mimi. unasemaje kwa hilo wazo?
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom