Nina jirani ambaye ni mdada kaumbika haswa lakini najiuliza nimuanzaje?

Nina jirani ambaye ni mdada kaumbika haswa lakini najiuliza nimuanzaje?

Habari Wana JF

Katika mapambano ya kurudi uchumi wa kati Kwa spidi nilibahatika kuama mkoaa nakwenda kuanzisha maisha upya hii nipamoja na kuachana na totoz zotee nilizokua nazimiliki

Sababu iliyopelekea nianzishe maisha mapya nikutokana na uzinzi uliopitilizaa kwani nakumbuka katika wiki nilikua napumzika siku Moja tuu nakatika sikuu nilikua nabadilisha Hadi watatu ila Hali ikiwa mbaya sana naishia wawili jambo ambalo nilitamani niliache ila nikashindwa mpaka kupelekea kuhama mkoa.

Hivi Sasa ugenini ninawiki tatu sijawahifikiria hayomambo kabisa ilaa kiukwelii hapa ninapo kaa kunajirani yangu amenyambulika haswaa Yani mtoto almasi ,kiufupi hakuumbwa haraka haraka na anaishi mwenyewe.

Wakuuu wajadii,wazee wamilaa ,vijana wenzangu,waheshimiwa viongozi kiukwelii sio kwamba lile pepo linarudi hapana nimoyo umemuanhukia tuu bt sjawah hata kuongea naee ila nmejikuta nataka nipige yamwisho mwisho kabisa.

Naombeni tuu msaada nifanyaje ili niweze kumpata sababu nimekaa ndani kwangu namsikia anaongea nasimu na rafiki zakee ila Mimi sipati usingizi 😭😭nimefikiria nikamgongee nimuombe chaji ila majirani wengine wataniskia naombeni mbinuuu wandugu nipige yamwisho mwisho ,

Wazee wakamati juu,benchi la ufundi ,wakongwe wa zamani,mashujaa wa vita vya Uganda,Mashehe na Wachungaji nawategemeaa mainiangushe kijana nmeshindwa kulala nisaidieni mbinuu nanyie mtabarikiwa mtaepushwa na UTI sugu ,uzao wenu utakua na baraka 🙏🙏
Masiahara hayo dogo, wewe umetuambia ulikuwa kitombi uliyekubuhu leo tena unatuomba jinsi ya kumkabili huyo demu, wacha hizo blaza,uliona wapi mbuzi akafundishwa kula majani?
 
20240213_171724.jpg
 
Hv kuna vijana wa kiume bado wanataka kuingia kwenye mahusiano na mwanamke kwa kigezo cha ameumbika au ana sura nzuri?
 
Habari Wana JF

Katika mapambano ya kurudi uchumi wa kati Kwa spidi nilibahatika kuama mkoaa nakwenda kuanzisha maisha upya hii nipamoja na kuachana na totoz zotee nilizokua nazimiliki

Sababu iliyopelekea nianzishe maisha mapya nikutokana na uzinzi uliopitilizaa kwani nakumbuka katika wiki nilikua napumzika siku Moja tuu nakatika sikuu nilikua nabadilisha Hadi watatu ila Hali ikiwa mbaya sana naishia wawili jambo ambalo nilitamani niliache ila nikashindwa mpaka kupelekea kuhama mkoa.

Hivi Sasa ugenini ninawiki tatu sijawahifikiria hayomambo kabisa ilaa kiukwelii hapa ninapo kaa kunajirani yangu amenyambulika haswaa Yani mtoto almasi ,kiufupi hakuumbwa haraka haraka na anaishi mwenyewe.

Wakuuu wajadii,wazee wamilaa ,vijana wenzangu,waheshimiwa viongozi kiukwelii sio kwamba lile pepo linarudi hapana nimoyo umemuanhukia tuu bt sjawah hata kuongea naee ila nmejikuta nataka nipige yamwisho mwisho kabisa.

Naombeni tuu msaada nifanyaje ili niweze kumpata sababu nimekaa ndani kwangu namsikia anaongea nasimu na rafiki zakee ila Mimi sipati usingizi 😭😭nimefikiria nikamgongee nimuombe chaji ila majirani wengine wataniskia naombeni mbinuuu wandugu nipige yamwisho mwisho ,

Wazee wakamati juu,benchi la ufundi ,wakongwe wa zamani,mashujaa wa vita vya Uganda,Mashehe na Wachungaji nawategemeaa mainiangushe kijana nmeshindwa kulala nisaidieni mbinuu nanyie mtabarikiwa mtaepushwa na UTI sugu ,uzao wenu utakua na baraka 🙏🙏
Naona unatamani kulipa kodi ya nyumba mbili.
 
Back
Top Bottom