hodiii jf, naombeni kuwa mwenyeji nimechoka kuwa mgeni
Mbona kama jina lako si geni...
Anyway karibu sana JF...
ni kweli si gen ila sikuwah kujitambulisha, kuna mada uliitoa nilishindwa kuvumilia ikabid nijisajil ili niishiriki..
asante, mkuu
big up kwa busara zako, ila una maswal hadi unayaleta kwa mgen!!!traaa
teh teh hilo nalo neno.. ingawa una challenge too much.. thanks again