Nina kamba mguuni...

Nina kamba mguuni...

Sn2139

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2010
Posts
834
Reaction score
251
Wana JF mimi ni kuku mwenye kamba mguuni, je huku mnatoboa jicho?
 
Preta huyu kweli mgeni kakosa mlango upi wa kuanzia mpe mwongozo

kweli nimeona....ila tumkaribishe hivyo hivyo akishazoea atahamishia thread kunakohusika....karibu kuku mwaya
 
Wewweeeeee mgeni..mbona umeingilia nyuma?...Plz soma vizuri majukwaa yaliopo, then utapaona pahala sahihi!
Lakini karibu!...Hapa ni siasa tu bana!
 
hahaaa @PakaJimmy amejiingilia nyuma?

karibu mwaya kupotea ndo ugeni wenyewe...
 
Nashukuru .. nimekaribia, samahani kwa kukosea mlango na hiyo ndio dalili ya kuku mgeni. Salaam alleikum
 
Back
Top Bottom