NYAMOZEHOKO
Member
- Apr 18, 2020
- 69
- 67
Posti tangazo la biashara yako mahala ilipo pengine picha address contacts
Halafu acha unyonge
Nimejisajiri taneps. GPSA NILICHELEWA KUJISAJIRIumejisajili GPSA na Taneps?? matenda yapo kibao hukoooo
Michongo ninayo Ila bado haijatiki mkuu wanguKwann ufungue kampuni na huku huna masoko au michongo yoyote ya kusupply useless idea ndo maana badaye mnakujaga kufilisika bila kujua.....???????
Mkuu kufungua kampuni Kama huna plan ya kuiendesha hiyo kampuni utafeli Muda si mrefu au ulijua ukiwa na kampuni utawahi kutajirika...???Michongo ninayo Ila bado haijatiki mkuu wangu
Una roho ya wivu sana ndugu yangu.Kwann ufungue kampuni na huku huna masoko au michongo yoyote ya kusupply useless idea ndo maana badaye mnakujaga kufilisika bila kujua?
Wewe sio mzima, kosa lake ni nini? Kuleta tangazo humu? Use commonsense!Mkuu kufungua kampuni Kama huna plan ya kuiendesha hiyo kampuni utafeli Muda si mrefu au ulijua ukiwa na kampuni utawahi kutajirika...???
Mkuu plan ninazo.by the way nilikuwa mwajiriwa kwanza then ndo nimefungua kampuni kwa ajiri ya biashara. Nemomb agenda mbalimbali serikalini na Ngo bado hazijatiki.na Nina connection sehemu sehemu kwa washkaji.Mkuu kufungua kampuni Kama huna plan ya kuiendesha hiyo kampuni utafeli Muda si mrefu au ulijua ukiwa na kampuni utawahi kutajirika...???
Vijana wengi wa natafuta ajira wamesoma marketing toa ajira temporary kwa muda wa miezi michache tu akutafutie masokoMkuu plan ninazo.by the way nilikuwa mwajiriwa kwanza then ndo nimefungua kampuni kwa ajiri ya biashara. Nemomb agenda mbalimbali serikalini na Ngo bado hazijatiki.na Nina connection sehemu sehemu kwa washkaji.
Umechelewa kidogo ..kuna Taasisi inaitwa Ifakara Health Institute iko pale mikocheni ..juzi walitangaza hzo tenders.. Ila deadline ilishapitaHabarini za asubuhi wakuu!
Wadau nina kampuni ya general supply ( building materials and stationeries). Naomba mwenge connection ya kazi mbalimbali huko kwenye maofisi tusaidiane wakuu.
Thanx mkuuUmechelewa kidogo ..kuna Taasisi inaitwa Ifakara Health Institute iko pale mikocheni ..juzi walitangaza hzo tenders.. Ila deadline ilishapita
Uwe unafuatilia magazeti na forum mbali mbali zinazotangaza Ajira pia
Ushauli wangu tafuta mtu wa marketing mwenye uzoefu na biashara ya stationery pamoja na building materialHabarini za asubuhi wakuu!
Wadau nina kampuni ya general supply ( building materials and stationeries). Naomba mwenge connection ya kazi mbalimbali huko kwenye maofisi tusaidiane wakuu.
Unapatikana wapi mkuuHabarini za asubuhi wakuu!
Wadau nina kampuni ya general supply ( building materials and stationeries). Naomba mwenge connection ya kazi mbalimbali huko kwenye maofisi tusaidiane wakuu.