Ngoniboysinai
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 590
- 482
Kamuni yangu ni mpya je nawezaje kupata tenda na kupata wateja nje kama vile india na nk. Msaada kwa mwenye uzoefu anishauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna umuimu mkubwa sana kwenda kule na kutafuta masoko, wakuone physically. Pia ukikua kimtaji fungua ofisi kila sehem unayotaka kufanya kazi. Kama agent au wakala.Kamuni yangu ni mpya je nawezaje kupata tenda na kupata wateja nje kama vile india na nk. Msaada kwa mwenye uzoefu anishauri
Naomba niseme kidogoKamuni yangu ni mpya je nawezaje kupata tenda na kupata wateja nje kama vile india na nk. Msaada kwa mwenye uzoefu anishauri

Mimi ninalengo na nchi zenye mahitaji makubwa ya avokado na korosho maana nahitaji soko ingia ktk websate yangu www.mafupatz.comMkuu,masoko ya nje ni very competitive ila pia demand ni kubwa.Cha muhimu ni wewe tu kuingia Front na kutafuta Fursa.Je unalenga nchi gani?Kwa nini unalenga nchi hizo?
Tembelea www.mafupatz.com upo sawa sababu humu kila mtu hazuiwi kujielezaAweke vielelezo vya hiyo kampuni yake hapa tuone kwanza,Tumpuuze ni muongo sidhani hata kama ana kibanda cha kuuza parachichi
Wazo zuri si unajua mwanzo mgumu kwa sisi wakulimaAngeshiriki kwenye maonyesho ya biashara makubwa mojawapo ya nchi anayotaka kufanya nao biashara mfano China au kutafuta masoko.
Mimi ndo naanza ,kupata masoko lazima kuna vigezo utimize mimi nimetimiza vyote ndo mana nimefungua hiyo kampuni na kosa labda mimi sio mwanfishi mzuri nisame kama sikueleweka tembelea ktk website yangu www.mafupatz.comNi muongo huyu tumpuuze,tayari anasema ana kampuni halafu anaulizia kienyeji hivi kupata soko la nje?
Yaap kule shambani kuna wakenya wengi wananunua sema kwa bei ndogo sana lazima nipate conection ya huko sauz nahuatilia asanteKenya wanatoa sana nje hizo Avocados na SA pia ni wanunuzi wa Avocados ila upate kibali toka SA cha kuingiza.
Asante sana kwa wazo zuri sana natumaini nitafanikiwa na kikubwa tuinuane tu sisi vijana tusikatishane tamaaKuna umuimu mkubwa sana kwenda kule na kutafuta masoko, wakuone physically. Pia ukikua kimtaji fungua ofisi kila sehem unayotaka kufanya kazi. Kama agent au wakala.
Na Ikiwezekana fanya partnership na waindi au wamarekani.
0718242233 tuwasilianeMkuu,masoko ya nje ni very competitive ila pia demand ni kubwa.Cha muhimu ni wewe tu kuingia Front na kutafuta Fursa.Je unalenga nchi gani?Kwa nini unalenga nchi hizo?