kedekede JF-Expert Member Joined Aug 21, 2016 Posts 5,313 Reaction score 7,714 Oct 21, 2017 #41 Kwenye huu uzi nimegundua watu ambao wamepanga ni wengi kuliko ambao wamejenga.Kumbe wengi hamna nyumba mmepanga.
Kwenye huu uzi nimegundua watu ambao wamepanga ni wengi kuliko ambao wamejenga.Kumbe wengi hamna nyumba mmepanga.
MjuviKitambo JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 711 Reaction score 811 Oct 21, 2017 #42 Hiyo pesa ni nyingi sana ! Anza tu utafika mbali
msendoking Senior Member Joined Feb 15, 2017 Posts 128 Reaction score 93 Oct 21, 2017 #43 Kama ni kijijini utanga mpaka IC
Mkurya safi Member Joined Sep 27, 2017 Posts 19 Reaction score 10 Oct 21, 2017 #44 Msingi? Asee jamaa wewe, inategemea na aina ya nyumba, ghalama za fundi usiogope anza
gasmash Member Joined Oct 16, 2017 Posts 31 Reaction score 14 Oct 21, 2017 #45 Broo nikisha toka toilet nitakushauri lkn nahisi utaishia chini
DZUDZUKU JF-Expert Member Joined Nov 8, 2012 Posts 3,909 Reaction score 2,115 Oct 21, 2017 #46 Uzi mzuri ila kuna idea tofauti ambazo zinachangia uzi mmoja. 1. Uzi unahusu chumba kimoja ambacho ni self? 2. Nyuma yenye vyuma vingi wakati master ina self 3. Nyumba kama nyumba ya kuanzia maisha. 4...................
Uzi mzuri ila kuna idea tofauti ambazo zinachangia uzi mmoja. 1. Uzi unahusu chumba kimoja ambacho ni self? 2. Nyuma yenye vyuma vingi wakati master ina self 3. Nyumba kama nyumba ya kuanzia maisha. 4...................
cheetah255 JF-Expert Member Joined Oct 19, 2017 Posts 1,376 Reaction score 2,393 Oct 21, 2017 #47 Utaishia kununua vifaa tu wala huta jenga.