wa kibondemaji
Member
- Aug 1, 2024
- 30
- 53
Nina kiasi cha shilingi milioni 3. Nataka nifungue sehem ya chips , kuku, mishkaki samaki juice na vinywaji sio vilevi.
Naombeni ushauri kuhusu mtaji huo unatosha? Na vipi Faida na changamoto zake
Naombeni ushauri kuhusu mtaji huo unatosha? Na vipi Faida na changamoto zake