CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
3M uongo haitoshi, utaunguza mtaji wako bure. angalau ingekua 5M.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nimpe wazo zuri ndugu yangu huyoMkuu unaenda kupigwa. Usimfuate pm
Mpe hapa hapaNataka nimpe wazo zuri ndugu yangu huyo
Wazo ni mtaji
kwa kweli nyingi sana aseeeeembona nyingi sana hiyo, chips tu ndio yote hiyo?
Kama ni wazo weka tu hapa kila MTU afaidike.Nataka nimpe wazo zuri ndugu yangu huyo
Wazo ni mtaji
Eneo sio la kishua sana ni eneo lenye watu wa aina zoteInategemea unafungua eneo gani,kama sio eneo la kishua sana mbona hicho ni KIBUNDA
Kwa asilimia kubwa nitakuw mwenyeweUtakuwa mwenyewe au unaweka mtu?
Aaaah! Baharia hiyo ya kuweka heshima mtaani!Nina kiasi cha shilingi milioni 3. Nataka nifungue sehem ya chips , kuku, mishkaki samaki juice na vinywaji sio vilevi.
Naombeni ushauri kuhusu mtaji huo unatosha? Na vipi Faida na changamoto zake
Asante sana kwa ushauriMkuu mimi nilifungua kwa tsh 900k pekee kodi vifaa vilinigharim 700k nikaanza na mafuta lit 20 na gunia moja la viazi na nkaweza kumaliza gunia moja ndan ya siku tatu.
Changamoto ya hii biashara ni kupata vijana hasa wamenya viaz kwa maana kwa mtaj wang sikuw na mashine ya kumenya. Kingine ni ushindani asee ukizengua tu kwenye kukausha chips utawapoteza wateja
Nimefikiria kweny hyo 3m nitanunua vitu hivyoKatika unavyotaka kufungua una fridge? Viti ama nyenzo yoyote kwa ajili ya biashara?
Pamoja na kodiNimefikiria kweny hyo 3m nitanunua vitu hivyo
Hapana kodi ipo pesa nyngnePamoja na kodi
Inawezekana kabisa mkuu unaanza kabisaHapana kodi ipo pesa nyngne
Nikupe siri ndoo moja ya chipsi unatoa sahani za buku 20-25 kwa ujazo wa nyanda za juu kusini hapo ujatumia ile mashine ya kukata chipsNina kiasi cha shilingi milioni 3. Nataka nifungue sehem ya chips , kuku, mishkaki samaki juice na vinywaji sio vilevi.
Naombeni ushauri kuhusu mtaji huo unatosha? Na vipi Faida na changamoto zake
Hiyo pesa ni nyingi sana.....Kwa asilimia kubwa nitakuw mwenyewe
Hapo uliposwitch ndio uliharibu.Lakini hii biashara ili utoboe unahitaji uwe na mtaji mm baada ya kufanya mda kidg mtu akanipa connection mbele ya night club asee na kuna mwamba akanipa connecfion ya kuku kutoka malinyi nkamtafta mama malinyi akawa ananipakia kwenye gari ya master j kipind hicho napokelea town asee kwenye kuku ndio nilipiga hela nkawa nachoma chips kuku kuanzia saa tatu usiku mpka saa tisa alfajir naamsha zangu sema nilifanya ndan ya miez 3 tu nkaswitch kweny mchong mwingine