Nina kiburi (I am proud) kuwa mTanzania

Kabla sijaudhi wengi, nilikuwa natania. It is all good. Mkuu ameapologise na ameonyesha namna gani muungwana anavyotakiwa ku'behave'. Shukrani kwa wote.
 


Safi sana Zomba achana na mambo haya tuendelee hii ni JF ni sawa na baharini ila hapa tuna utaratibu maana sisi ni watu wazima na akili zetu .
 

Ndugu yangu hili somo lilimshinda Lowassa... gumu kweli..
 

Nadhani ni mapema mno kuanza kumsifia Kikwete kwa hili baraza la mawaziri la kina chenge, nchimbi na wenzake. Kama umekosa cha kuandika ni vizuri muda mwingine utulie tu kama wenzako hapa.

Hiki ni kiini macho tu Kikwete anawafanyia watanzania kama wewe mnasahau kabisa kuwa nchi karibu yote imeuzwa kwa buzwagi na wenzake. karaghabhao
 
Nimefurahishwa sana na hii posti kwa sababu kubwa mbili: kwanza kwa moyo wa wa uungwana wa wanaogombana na kusamehe (hongera Zombe). Lakini lililo kubwa ni kutambua kwamba JF (Hususan mwafrika wa Kike) sio kazi yake kusagia na kukandia tu kila kitu kinachofanyika TZ hata kama sio timilifu (kama hili baraza letu la mawaziri) lakini kumbe tunapongeza pia.

Hongera sana Mwafrika wa Kike, hongereni sana JF!
 
Kuna mafanikio kidogo, lakini shina la matatizo bado liko pale pale. Mafanikio ni pamoja na kupungua kwa ukubwa wa baraza la mawaziri (toka 61 hadi 37). Nampongeza JK kwa hilo. Nampongeza JK vile vile kwa kuwa msikivu na mvumilivu wa criticism.

Tatizo la mfumo mbovu unaoruhusu wabaya kuuza nchi bado liko pale pale. Serikali haijakubali Bunge liridhie mikataba kati yake na wawekezaji. Katiba yetu inasema wazi kwamba Bunge litasimamia serikali, na kwamba mikataba mikubwa itahitaji ridhaa ya Bunge (nimeshaposti vipengele husika hapa JF).

Ameondoka Karamagi lakini mirija yake imebaki intact. Mkataba wa kampuni yake bandarini utaendelea kurudisha nyuma Watanzania miaka nenda rudi. Ameng'atuka Kingunge, lakini familia yake itaendelea kutudai fedha za parking mjini na za kutumi kituo cha mabasi Ubungo. Alijizolea hizo contracts kwa kutumia nafasi yake. Ameng'atuka bila kukata mirija yake.

I call for some real change. A change that would allow our Bunge to discuss and approve or reject all contracts between the government and investors.

Someone criticized Mwafrika wa Kike for working overseas. I recall someone asking Professor Mazrui once about his working in the US. The good Prof. answered that he was there to provide some vertical counter penetration. Prof. Mazrui writes, in one of his books: "Africa was a virgin continent. She was penetrated by the Europeans". Some Americans work in Tanzania, and some Tanzanians work in the US. It's a global village remember? When will this peasant mentality that all patriotic Tanzanians should work in Tanzania end?
 

YournameisMINE, je unamchukia kiasi hiki huyu Rais Mstaafu?!


Zomba;


Lakini:

Nimalizie kwa Uhodari wa msulihishi "YournameisMINE"
nafikiri ametoa mchango mkubwa kuwezesha mabo kuwa sawa.... YournameisMINE ..karibu unamfikia Koff A..mamabo yanaaza kidogo kidogo!!
Azimio Jipya,
ama kweli 'lakini' yako hapo juu kubwa kweli ndugu.... si unaona vile msuluhishi anavyohitaji suluhu pia?!

SteveD.
 

Mkuu Mwafrika Wa Kike,

Salute, na huko peke yako, tuko wa-Tanzania wengi kama wewe, Respect!
 
Well mimi bado kidogo kuwa proud, i am happy not yet proud. I will be very happy and very proud to be a trully Tanzania, with brothers and sisters around the globe who have their thoughts and their hearts here in Bongoland, kama Mramba na Lowassa and company watafikishwa kwenye mkono wa sheria. Kazi inatakiwa ikamilishwe isifanyike nusu.
God our Lord, bless and save Tanzania!
 
Kama Wew Mtanzania Wa Kweli Njoo Tanzania Utuletee Hizo Pesa
Za Mabox Watanzania Wakazae Kwwenye Zahanati Safi Zilizo Bora
 
MwK,

I am proud of my heritage, I am proud of my nationality, I am proud that I am a Tanzanian, I am proud that I am patriotic!
 
I am sure most of contributors here, are not residing in Tanzania, but their ideas, financial, etc brings changes there, so still she have a right to be a proud as a Tanzanian, no matter were she live. Exposure matter

Huyu Zomba ni one-sided myopic creature..na hata siku moja hawezi kutoa point..hivyo msamehe tu..ndivyo alivyo..
 
This was war??? well from my point of a view this girl belongs to nchi ya kusadikika!! Naona sasa utapunguza kuwa pessimistic kind of a person!!

Kiukweli wewe naona hatupo pamoja, vita unayoitaka wewe ni ipi? Au hujui umasikini wetu na hali mbaya ya jamii yetu ni matokeo ya kushindwa vita mbalimbali ikiwemo dhidi ya ufisadi? Nashawishika kuwa u fisadi propagator and facilitator.
 
Kiukweli wewe naona hatupo pamoja, vita unayoitaka wewe ni ipi? Au hujui umasikini wetu na hali mbaya ya jamii yetu ni matokeo ya kushindwa vita mbalimbali ikiwemo dhidi ya ufisadi? Nashawishika kuwa u fisadi propagator and facilitator.



mie sina kiburi na tanzania na nnaomba mungu aniepushiee kiburi.

ila mie nna jifakharisha na kujivunia utanzania wangu na tanzania kwa ujumla.

na haijalishi paka ana rangi gani bali yupi anaeweza kukamata panya ndio bomba.


mwafrika wa kike baadhi ya wakati una maneno ya kihanithi uache hiyo tabia.

nnaamini ukiheshimuwenzio na wao watakuheshimu lkn kujifanya wewe ndio ree ni upuuuzi kama kuwa nje wako wengi tuko nje na hatufanyi ubarazuli kama wako, ni mara nyingi nnakuona kwenye post zako ukitumia lugha za kukebehi wengine


hata hivyo nnawapongeza wale wengi wenye kujivunia utanzania wetu



Tanzania ndiko kwetu
hatuna pengine katu
asitudanganye mtu


nnaipenda tanzaniaaaaa
nnaipenda tanzaniaaaaaa
 

Nafurahia na nina kiburi sana kuwa mTanzania.


Yaani sasa usongo unanyemelea kuisha -KIREDEREDE BASI!

I remain audaciousπŸ˜‰
I concur with you here!
 
Kama Wew Mtanzania Wa Kweli Njoo Tanzania Utuletee Hizo Pesa
Za Mabox Watanzania Wakazae Kwwenye Zahanati Safi Zilizo Bora

we zakwako ngapi ulizopeleka kwenye zahanati? pamoja na kuwa kwako huko nyumbani umefanya nini cha kuwasaidia watanzania? au ndo wale mnaoingia kwenye vijiwe kutetea ufisadi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…