Nina kiburi (I am proud) kuwa mTanzania

Nina kiburi (I am proud) kuwa mTanzania

Well mimi bado kidogo kuwa proud, i am happy not yet proud. I will be very happy and very proud to be a trully Tanzania, with brothers and sisters around the globe who have their thoughts and their hearts here in Bongoland, kama Mramba na Lowassa and company watafikishwa kwenye mkono wa sheria. Kazi inatakiwa ikamilishwe isifanyike nusu.
God our Lord, bless and save Tanzania!

Au robo.. kwa kweli nitajivunia sana kuwa Mtanzania wakati wahusika wa kila aina ya ufisadi (Richmond, IPTL, SONGAS, BOT, you name it) watakapofilisiwa na kufikishwa mahakamani. Nachukulia hatua ya kujiuzulu kwa EL & Co, kama ni kujiadhibu wenyewe. Kama walilazimishwa nyuma ya pazia kufanya hivyo, sisi hatujui kwani pongezi wanazopewa na wabunge wengi na viongozi kwa kuchukua hatua ya kujiuzulu ni ya kujenga dhana kuwa wamechukua hatua hii kwa utashi wao binafsi. Sasa, kama serikali, JK anachukua hatua gani kuwaadhibu hawa mafisadi??? I wish tungekuwa CHINA. Solution ya Ndesamburo is very, very appropriate.
 
Ndoto gani uliyonayo wewe? unapayuka wakati haupo front line. Hivi unauhakika kuwa ulichangia katika kumtowa Lowassa? pole sana kwa uvivu wa kufikiri. Kuzima ndoto ya uraisi? what a nonsense hata history ya juzi inakupiga chenga? Mwinyi ndie aliyekuwa waziri wa kwanza kujiuzulu kwa kashfa katika wizara yake and he ended being the President baada ya "haambiliki" kung'atuka, au umesahau hilo?

Utafanikiwa kuchukuwa "nchi yetu" uipeleke wapi? huko ulipo? kama ni merekani kweli naona utafanikiwa kabla ya muda si mrefu, kwani bushi ndio huuyo anakuja, makampuni yake ndio hayo yanakomba dhahabu, yanafisadi (Richmond), na sasa anakuja kuwahi kukomba mafuta, kweli mtafanikiwa kuichukuwa kama bado hamjafanikiwa.

Wewe kaa huko na usjidai unauchungu sana na Tanzania, wenye uchungu tunawaona na tunawajuwa. ooopsss kweli, huna uchungu una kiburi!

Ever heard of someone with unnecessary hard feelings? Go Mwafrica wa kike,some people just need to be ignored, attention seekers!If we really need to compare you and MWK's contribution to lowassa's downfall you wont stand a chance.Sometimes its better to be silent.
 
mie sina kiburi na tanzania na nnaomba mungu aniepushiee kiburi.

ila mie nna jifakharisha na kujivunia utanzania wangu na tanzania kwa ujumla.

na haijalishi paka ana rangi gani bali yupi anaeweza kukamata panya ndio bomba.


mwafrika wa kike baadhi ya wakati una maneno ya kihanithi uache hiyo tabia.

Mhh,

maneno ya kihanithi ndiyo yepi tena hayo!?

nnaamini ukiheshimuwenzio na wao watakuheshimu lkn kujifanya wewe ndio ree ni upuuuzi kama kuwa nje wako wengi tuko nje na hatufanyi ubarazuli kama wako, ni mara nyingi nnakuona kwenye post zako ukitumia lugha za kukebehi wengine

Mkuu mtu wa pwani,

Haya mambo ya kuishi nje yanahusiana vipi na ubarazuli na kujifanya ree na ...... Kwa kile ninachofanya hapa ninategemea explosion toka kwa whiners ndio maana huoni nikililia maziwa au kulalama kwa lugha mtu atakayotoa dhidi yangu (soma postings zangu hapa utaona hili).

Ninachofanya hapa huwa niko tayari kukisimamia na baada ya haya mapumziko, game itaendelea. Wenye explosion na pumba, watakuwa ignored au wana JF watawarudisha kwenye line.


hata hivyo nnawapongeza wale wengi wenye kujivunia utanzania wetu



Tanzania ndiko kwetu
hatuna pengine katu
asitudanganye mtu


nnaipenda tanzaniaaaaa
nnaipenda tanzaniaaaaaa

Amen
 
"At times, wisdom, is to know what to overlook and ignore"
 
Ever heard of someone with unnecessary hard feelings? Go Mwafrica wa kike,some people just need to be ignored, attention seekers!If we really need to compare you and MWK's contribution to lowassa's downfall you wont stand a chance.Sometimes its better to be silent.

You'd stand he he he
 
Ever heard of someone with unnecessary hard feelings? Go Mwafrica wa kike,some people just need to be ignored, attention seekers!If we really need to compare you and MWK's contribution to lowassa's downfall you wont stand a chance.Sometimes its better to be silent.

Thanks Judy
A very strong but also a clear message
 
.....eeenh nnaona hapa kila mtu kawa na kiburi, mipasho ndio usiseme!! utafikiri Afghanstani, kila mtu mullah, sasa nani atakuwa ma'amuma??! tuwe siriasi kidogo, lau kama mada huizimii basi ilie "kobisi" sio lazima kuosha kinywa!!........
 
Back
Top Bottom