Nina kifaa cha kubakia

Nina kifaa cha kubakia

Kristonsia Nkya

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
302
Reaction score
292
Hakim: kijana unahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la kuuza gongo na konyagi.

Mtuhumiwa: Lakin vile ni vifaa tu mlivyovikuta navyo hamjanikuta na gongo.

Hakim: Wewee nyamaza!!!
Ukikutwa na Vifaa vya kutengeneza gongo lazima utakuwa mtengeneza gongo mzur sana we.

Mtuhumiwa: bas mnihukum pia kwa kosa la kubaka

Hakim:Haaaa!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]kumbe ulibaka pia????

Mtuhumiwa: Hapana skubaka ila Nina kifaa cha kubakia.

Hakim: kioneshe, kiko wapi??

Mtuhumiwa: (akafungua zipu ya suruali na kuonesha mashine yake) “Hiki hapa"

Hakim: Kuanzia sasa uko huru


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom