Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Mbunge wa Mwibara mh Kangi Lugora amesema kuwa ana kifaa cha kutambua fedha zizofichwa,amedai kuwa watu wengine huficha fedha kwenye mashimo nyumbani kwao hivyo taanza kuzunguka na kuwaumbua kwa kuzifichua