Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Odo ake Lamomy Happy New Year 2025 kwanza π π π π π π π
I meant no offenseπHeal bro...
Sasa si kwenye kusaidia humohumo tunasaidia ndugu au nimekosea?Uliazishaa kwa madhumuni gan??... Kama kusaidia Mungu akubaliki ilaa kama kupigaa helaa za misaaada the rest is history... maaana nmeona sehem nying watu wanaazisha center hizo kwa ajili ya MAOKOTO tuu...... Anyway make affiliation with churches..
sina hata mia mbovu mkuuMshamba hachekwi bado haujafungua kituo cha kulelea watoto hapo kahama ndugu yangu?
elimu nzuri1 . Hapo unahitaji grants and fund mobilization experts kwa ajili ya kukufundisha jinsi ya kupata pesa za wahisani ikiwemo kuandika propasals
2. promo promo promo. Kuwa na social media page na website maana wafadhili lazma waone uthibitisho wa umefikia wapi. Usione watu wapo busy kupiga picha na videos za watu walio katika mazingira hatarishi ukadhani wanapenda. Mkakati tu mkuu
3. I assume pesa unayo kwa setting ya hicho kituo. Tengeneza connections zaidi na jamaa wa NGOs maana wana group zao kama secret societies.. Taarifa yoyote hata kama ni grants announcement wanapeana wao kwa wao kirahisi. So ingia kwenye mfumo mkuu.
acha masihara, usi kute una master card visaππ€£sina hata mia mbovu mkuu
Hii ni political science π€£πAsante mkuu kwa kuwatag, kumbukumbu iliniishia kidogo.
Sidhani kama ni watu wa shari, watalipokea hili jambo kwa moyo mweupe kabisa.
Leo ume define I mean no malice to nobody ππI meant no offenseπ
ππ½ππ½elimu nzuri
Nimekumiss odo umepotelea wapi weye πOdo ake Lamomy Happy New Year 2025 kwanza π π π π π π π
AmKATRINA Jamani swala la kuchangia hasa watoto, wenye uhitaji maalumu ni la wote. Haijalishi nina 500, wewe una buku wote inatupasa tuwachangie.
Kuanzisha kituo, halafu utegemee wasamalia wema tu. Naona kama ni kuwatesa watoto. Japo ni kitu kizuri sana. Naona bora mtu uwe na uwezo wa kuwamudu hata kama wachache, watakaojitolea iwe ni nyongeza. Kila la kheri mtoa mada, wenye kujua wafadhili watasaidia ili watoto, waishi vizuri na ninawaombea pia.
Mimi zaidi Odo, umemisika sana mrembo wangu, nakuona juu kwa juu. Watu mnapotea sana. Mimi nipo, sema kuna kaubusy kananibana ila najitahidi kila wakati nitupie jicho humu. π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°Nimekumiss odo umepotelea wapi weye π
Mi nipo nimejaa nashinda shamba ss hivi πΉMimi zaidi Odo, umemisika sana mrembo wangu, nakuona juu kwa juu. Watu mnapotea sana. Mimi nipo, sema kuna kaubusy kananibana ila najitahidi kila wakati nitupie jicho humu. π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°
Piga picha uku umebinua makalio na umeweka bendera ya marangirangi ya hiviπππππππ wafadhiri watakuja chwaaaaaa kama shekh kaona surprised ya maandaziWakuu noamba Muongozo wa kupata wafadhili katika kituo changu Ambacho kinahudumia watoto wenye mahitaji maalumu.
Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.
Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi
Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi
Wapo wenye mtindio wa ubongo.
Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.
Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .
Miundombinu ipo vizuri
Kipo mikocheni
Karibu Kwa mawazo na ushauri .
Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150
Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .
Amina.Odo ake Lamomy Happy New Year 2025 kwanza π π π π π π π
AmKATRINA Jamani swala la kuchangia hasa watoto, wenye uhitaji maalumu ni la wote. Haijalishi nina 500, wewe una buku wote inatupasa tuwachangie.
Kuanzisha kituo, halafu utegemee wasamalia wema tu. Naona kama ni kuwatesa watoto. Japo ni kitu kizuri sana. Naona bora mtu uwe na uwezo wa kuwamudu hata kama wachache, watakaojitolea iwe ni nyongeza. Kila la kheri mtoa mada, wenye kujua wafadhili watasaidia ili watoto, waishi vizuri na ninawaombea pia.
Kwani wakati unakianzisha mkakati wako ulikuwaje?Wakuu noamba Muongozo wa kupata wafadhili katika kituo changu Ambacho kinahudumia watoto wenye mahitaji maalumu.
Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.
Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi
Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi
Wapo wenye mtindio wa ubongo.
Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.
Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .
Miundombinu ipo vizuri
Kipo mikocheni
Karibu Kwa mawazo na ushauri .
Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150
Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .
Yani umekianzisha juzi Leo unaomba msaada watajua lengo lako ni kuchunga pesa tu SHERIA MPAKA UKAE MIAKA ISIYOPUNGUA MITATUWakuu noamba Muongozo wa kupata wafadhili katika kituo changu Ambacho kinahudumia watoto wenye mahitaji maalumu.
Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.
Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi
Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi
Wapo wenye mtindio wa ubongo.
Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.
Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .
Miundombinu ipo vizuri
Kipo mikocheni
Karibu Kwa mawazo na ushauri .
Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150
Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .