Habari zenu na poleni kwa majukumu
Naombeni ushauri wenu, nina kiuvimbe shingoni upande wa kulia kimenitokea toka mwezi wa 3 mpaka leo hakijaisha. Pia naskia maumivu kwenye koo kama vile na vidonda kuna wakati nasikia maumivu hadi masikioni.
Kuna mda kuna vitu vinatoka huku kwenye koo vipande vidogo vya rangi ya njano ukiviminya vinaminyika ila vinatoa harufu mbaya sana. Pia kwenye hizi tezi ndani ya koo kumetokewa na michirizi mekundu na zimevimba.
Nilienda hospital wakanipa Pen V sikupona. Nimerudi tena wakanipa Cipro sikupona nikarudi wakanipa tena Ampiclox sijapona bado uvimbe upo na maumivu bado nayasikia.
Naombeni msaada wenu jamani nitumie nini ili nipone?
Mungu awabariki
Naombeni ushauri wenu, nina kiuvimbe shingoni upande wa kulia kimenitokea toka mwezi wa 3 mpaka leo hakijaisha. Pia naskia maumivu kwenye koo kama vile na vidonda kuna wakati nasikia maumivu hadi masikioni.
Kuna mda kuna vitu vinatoka huku kwenye koo vipande vidogo vya rangi ya njano ukiviminya vinaminyika ila vinatoa harufu mbaya sana. Pia kwenye hizi tezi ndani ya koo kumetokewa na michirizi mekundu na zimevimba.
Nilienda hospital wakanipa Pen V sikupona. Nimerudi tena wakanipa Cipro sikupona nikarudi wakanipa tena Ampiclox sijapona bado uvimbe upo na maumivu bado nayasikia.
Naombeni msaada wenu jamani nitumie nini ili nipone?
Mungu awabariki