Wanaja jf mlinipa moyo nimekusanya vihela na nimeweza kununua tofali nilishindwa kufyatua tofali kulingana na mazingira na muda nilionao,nimenunua tofali na vihela vya fundi nina uhakika by June foundations nitakamilisha then nitakuwa napanda kidogo kidogo,jamiiforum ni darasa tosha