Nina laini za Uwakala wapi naweza kupata mtaji?

Nina laini za Uwakala wapi naweza kupata mtaji?

Pawaga

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
1,349
Reaction score
1,011
Habari?

Jaman tupeane michongo ya mitaji. Mimi Nina laini zote za uwakala lakin Sina pesa ya mtaji kuanza biashara hiyo.
Je wapi nàweza kupata hata mkopo wa milioni moja nianze kidogo kidogo maana hapa nilipo hakuna mawakala na watu wanapaita tabu kupata hudumu hii?

Kumbuka Sina Cha kuweka kama dhamani ya mkopo maana Nina laini na vyeti basi.

Napatikana Iringa
 
Una uelewa mpana na hiyo biashara lakini??, maana usije ingia kwa matarajio makubwa ukala mweleka.

hiyo milioni 1 uki ipata bora uuze hata miguu ya kuku ita kulipa.
Maana Kuna wenzako wali pataga front 1000 Kama faida.

Hapo huja weka gharama za Kodi, leseni, matumizi yako.
Aisee hiyo biashara kwa kijana anae jitafuta si mshauri.

Good luck bro
 
Una uelewa mpana na hiyo biashara lakini??, maana usije ingia kwa matarajio makubwa ukala mweleka.

hiyo milioni 1 uki ipata bora uuze hata miguu ya kuku ita kulipa.
Maana Kuna wenzako wali pataga front 1000 Kama faida.

Hapo huja weka gharama za Kodi, leseni, matumizi yako.
Aisee hiyo biashara kwa kijana anae jitafuta si mshauri.

Good luck bro
Sio FRONT ni float halafu Mimi Sina wenzangu so usiniringanishe na hao
 
Una uelewa mpana na hiyo biashara lakini??, maana usije ingia kwa matarajio makubwa ukala mweleka.

hiyo milioni 1 uki ipata bora uuze hata miguu ya kuku ita kulipa.
Maana Kuna wenzako wali pataga front 1000 Kama faida.

Hapo huja weka gharama za Kodi, leseni, matumizi yako.
Aisee hiyo biashara kwa kijana anae jitafuta si mshauri.

Good luck bro
Acha kumdanganya mwenzako
 
Habari?

Jaman tupeane michongo ya mitaji. Mimi Nina laini zote za uwakala lakin Sina pesa ya mtaji kuanza biashara hiyo.
Je wapi nàweza kupata hata mkopo wa milioni moja nianze kidogo kidogo maana hapa nilipo hakuna mawakala na watu wanapaita tabu kupata hudumu hii?

Kumbuka Sina Cha kuweka kama dhamani ya mkopo maana Nina laini na vyeti basi.

Napatikana Iringa
Mkuu umemaliza lini chuo
 
Habari?

Jaman tupeane michongo ya mitaji. Mimi Nina laini zote za uwakala lakin Sina pesa ya mtaji kuanza biashara hiyo.
Je wapi nàweza kupata hata mkopo wa milioni moja nianze kidogo kidogo maana hapa nilipo hakuna mawakala na watu wanapaita tabu kupata hudumu hii?

Kumbuka Sina Cha kuweka kama dhamani ya mkopo maana Nina laini na vyeti basi.

Napatikana Iringa
Mkuu mbon unajiwekea ugumu hvyo...hpo itakuw shida kdg kupata kile unchokihitaj coz navyojua"kupata msaada kunaanz na ww kwnz.hvyo kaa chin fikir vizuri ndpo urud ten utuambie umefikia wp
 
Mtaji ni ndugu zako, marafiki, jirani... ngumu kupata mtaji kwa mtu baki mkuu kama humu sana sana utaambiwa ukakope na huna asset! kwahyo angalia phonebook pekua mmoja mmoja kwanzia A mpaka Z ukikosa cheki majirani wema, ukikosa nenda taasis ya kidini kanisani au msikitini, jiunge na kikundi pia muombe zile hela za halmashauri

Pia una smartphone, kama una sound au tv ghetto, sikushaur uweke bondi au kuuza ila akili kumkichwa kimfaacho m2 chake
 
Una uelewa mpana na hiyo biashara lakini??, maana usije ingia kwa matarajio makubwa ukala mweleka.

hiyo milioni 1 uki ipata bora uuze hata miguu ya kuku ita kulipa.
Maana Kuna wenzako wali pataga front 1000 Kama faida.

Hapo huja weka gharama za Kodi, leseni, matumizi yako.
Aisee hiyo biashara kwa kijana anae jitafuta si mshauri.

Good luck bro
Mkuu watu wanatajirika kwa iyo biashara then wewe unasema maneno kama hayo kweli
 
Una uelewa mpana na hiyo biashara lakini??, maana usije ingia kwa matarajio makubwa ukala mweleka.

hiyo milioni 1 uki ipata bora uuze hata miguu ya kuku ita kulipa.
Maana Kuna wenzako wali pataga front 1000 Kama faida.

Hapo huja weka gharama za Kodi, leseni, matumizi yako.
Aisee hiyo biashara kwa kijana anae jitafuta si mshauri.

Good luck bro
Usimvunje mwenzyo moyo
 
Back
Top Bottom