Nina laki 1 nataka mashine moja ya kisasa ya kunyolea kampuni bora tafadhali.

Nina laki 1 nataka mashine moja ya kisasa ya kunyolea kampuni bora tafadhali.

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Sitaki hizi mashine za et 20k,25k,35k,sijui 50k hapana nimeona bora nichukue Mashine moja kali ambazo haipati moto kirahis. Nimeona fursa hapa mtaa ya saloon. Asanteni.

Nielekeze kampuni bora ya mashine za kunyolea.
 
Mwamba nipe shavu nije kuwatoa madongo wana kwa kiwembe!, skonga nilikuwa mtabe sana kwa hizo kazi.
 
Back
Top Bottom