Mimi nakuomba tuwasiliane kwa simu 0763797853 nitakushauri vizuri sana
Mimi nakuomba tuwasiliane kwa simu 0763797853 nitakushauri vizuri sana
Mungu tumuogopeni jamani
kwanini unasema hivyo? watu wengi hudhani kuwa ni utapeli. mimi nakusihi tuwasiliane kama hutajali ikikufaa chukua isipokufaa acha. MUNGU ANAIJUA DHAMIRA YA MTU HATA KABLA HAJAFANYA JAMBO
Katafune kongoro tu Mkuu wenzio wana billion za escrow teh teh
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu.
Nimebahatika kudunduliza hela nimepata laki 5 naweza kufanya biashara gani kwa wilaya ya NAMTUMBO mjini pale.naomba mchango wa mawazo maana najua kwangu yatanisaidia.Tuache kejeli na kukatisha tamaa watu,
ASANTENI
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu.
Nimebahatika kudunduliza hela nimepata laki 5 naweza kufanya biashara gani kwa wilaya ya NAMTUMBO mjini pale.naomba mchango wa mawazo maana najua kwangu yatanisaidia.Tuache kejeli na kukatisha tamaa watu,
ASANTENI