Nina laki 9, nifanye biashara gani?

Hili jibu utakuwa umesaidia weng sana
 
Sijui ni kushauri ufanye biashara gani lakini ushauri wangu ukipata biashara ndogo ngogo(najua hio900k huwez kupata biashara kubwa) target ya biashara yako iwe ni kupata mtaji wa kiasi Fulani yaani hio biashara isiwe ndio kiendesha maisha yako utajikuta miaka kibao Upo na kabiashara hako hako hauendi popote

Sio kwamba usitumie laah tumia lkn kuwa na lengo kwamba hadi ukifika mwaka fulani au mwezi Fulani niwe na kiasi fulani nifanye biashara kubwa fulani
 
Habari mkuu
Asante kwa kushare fursa na vijana wenzio
Hakika nami nimevutika na hii fursa uliyoshare hapa
Na nina mpango wa kwenda mwanza hv karibuni kwa sasa nipo dar
Nina maswali kidogo naomba kuuliza

Hiko kisiwa cha bwiro gharama kwenda huko ni kiasi gn tokea mwanza mjini

Na kinaitwa bwiro au bwiru
Nimejalibu uliza wenyeji wanashindwa tambua jina
Pia kama hutojali ungesaidia kuelekeza jinsi mtu akiwa pale mwanza mjini anaweza fikaje huko
 
Ingia kwenye maduka ya urembo, kama soksi za watoto, soksi za watu wazima, dai, rangi za viatu, kamba za viatu, vijiko, mafuta ya kujipaka, dawa za meno, miswaki, chujio,malapu lapu ya kuogea; brashi za viatu, jagi za plastic, karai ndogo, vikombe vya chai,kontena za chakula,

Vitu hivi vyote, nunua zile ambazo dazani yake yaani pc 12, haizidi 4500.

Ukishanunua hizo bidhaa, nenda katafute spika inauzwa kati ya shilingi 35,000/40000. Kuna za kuchaji na za kuweka betri, utachukua ambayo unaona ni rahisi kwako.
Kisha nenda sokoni na huo mzigo wako, Mwaga hizo bidhaa chini tangaza kila bidhaa 500, tu. Halafu ulete mrejesho.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 

-Kisiwa kinaitwa Bwiro siyo Bwiru
-Nauli kufika ni sh.5000/= ila ukilialia 4000 wanachukua
-Unapanda boat pale Mwaro wa Kirumba, boat zipo kampuni 2; Umia Ujae na Nyachijanja. Zote zimeandikwa Mwanza-Serema.
-Ukifika kule gharama ya kulala guest ni 3000 hadi 2000 unapata.

Jihadhari kuna mabinti sana kule kwa hiyo unaweza kuliwa pesa hadi ukarudi na shati tu na ndala.

Mungu akutangulie.
 
Good idea
 
Hahahaha umenifurahisha eti unaweza rudi na ndala

asante kwa maelekezo mazuri boss
Nitayafanyia kazi
Lkn kama hutojali nisaidie mawasiliano yako PM
 
MKUU HII NIMEIPENDA MNO
 
Tairi mbovu ni nyingi sana huko niko mgodi wa northmara nyamongo mkoa wa mara
 
jamani mbna watu wanatushauli tuje uko migodini kumbe ni kugumu ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…