Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Ongezea Sh Millioni Moja tu, itimie Millioni 1.9 ununue Iphone 12 Pro Max (Macho Matatu).
Akili zako unazijua mwenyew acha umamaOngezea Sh Millioni Moja tu, itimie Millioni 1.9 ununue Iphone 12 Pro Max (Macho Matatu).
Hili jibu utakuwa umesaidia weng sanaKijana kwanza hongera kwa mapambano hayo. Ningekushauri ufanye hili kama utapenda inaweza kukusaidia sana.
Nenda Mwanza, panga chumba miezi 3 cha elfu 15 kwa mwezi, chukua godoro la 50elfu. Hapo utakuwa umetumia laki moja.
Pesa iliyobakia nenda kisiwani, ulizia kisiwa cha Bwiro, nenda kule unakuwa unanua samaki wabichi kisha unawabanika, kuna wamama wanafanya kazi hiyo ya kubanika unawalipa kidogo sana.
Samaki wakavu utakuwa unawaleta Mwanza mjini kisha unawauza kwa bei ya JUMLA na kisha unarudi tena kisiwani kuchukua mzigo. Mtaji wa laki tano unatosha kabisa kufanya biashara hii na utapiga faida sana.
Unaweza pia kuwa unawabanika samaki kisha unawapeleka migodini Geita kule utawauzia mama Ntilie kwa faida nzuri sana.
Kama hii biashara utaiona ngumu unaweza kusema hapa kisha nitakushauri biashara nyingine.
Mungu akutangulie.
Ushauri mzurifungua library ya cd
Spiker,amplifierhapa destop pull 200000, ( 300000 kodi, 150000 movies, 250000 hii utaweka pembeni kamaa mtaji wa akibaa
like kama umependa hii biashara
Habari mkuuKijana kwanza hongera kwa mapambano hayo. Ningekushauri ufanye hili kama utapenda inaweza kukusaidia sana.
Nenda Mwanza, panga chumba miezi 3 cha elfu 15 kwa mwezi, chukua godoro la 50elfu. Hapo utakuwa umetumia laki moja.
Pesa iliyobakia nenda kisiwani, ulizia kisiwa cha Bwiro, nenda kule unakuwa unanua samaki wabichi kisha unawabanika, kuna wamama wanafanya kazi hiyo ya kubanika unawalipa kidogo sana.
Samaki wakavu utakuwa unawaleta Mwanza mjini kisha unawauza kwa bei ya JUMLA na kisha unarudi tena kisiwani kuchukua mzigo. Mtaji wa laki tano unatosha kabisa kufanya biashara hii na utapiga faida sana.
Unaweza pia kuwa unawabanika samaki kisha unawapeleka migodini Geita kule utawauzia mama Ntilie kwa faida nzuri sana.
Kama hii biashara utaiona ngumu unaweza kusema hapa kisha nitakushauri biashara nyingine.
Mungu akutangulie.
Habari mkuu
Asante kwa kushare fursa na vijana wenzio
Hakika nami nimevutika na hii fursa uliyoshare hapa
Na nina mpango wa kwenda mwanza hv karibuni kwa sasa nipo dar
Nina maswali kidogo naomba kuuliza
Hiko kisiwa cha bwiro gharama kwenda huko ni kiasi gn tokea mwanza mjini
Na kinaitwa bwiro au bwiru
Nimejalibu uliza wenyeji wanashindwa tambua jina
Pia kama hutojali ungesaidia kuelekeza jinsi mtu akiwa pale mwanza mjini anaweza fikaje huko
Good ideaKijana kwanza hongera kwa mapambano hayo. Ningekushauri ufanye hili kama utapenda inaweza kukusaidia sana.
Nenda Mwanza, panga chumba miezi 3 cha elfu 15 kwa mwezi, chukua godoro la 50elfu. Hapo utakuwa umetumia laki moja.
Pesa iliyobakia nenda kisiwani, ulizia kisiwa cha Bwiro, nenda kule unakuwa unanua samaki wabichi kisha unawabanika, kuna wamama wanafanya kazi hiyo ya kubanika unawalipa kidogo sana.
Samaki wakavu utakuwa unawaleta Mwanza mjini kisha unawauza kwa bei ya JUMLA na kisha unarudi tena kisiwani kuchukua mzigo. Mtaji wa laki tano unatosha kabisa kufanya biashara hii na utapiga faida sana.
Unaweza pia kuwa unawabanika samaki kisha unawapeleka migodini Geita kule utawauzia mama Ntilie kwa faida nzuri sana.
Kama hii biashara utaiona ngumu unaweza kusema hapa kisha nitakushauri biashara nyingine.
Mungu akutangulie.
Hahahaha umenifurahisha eti unaweza rudi na ndala-Kisiwa kinaitwa Bwiro siyo Bwiru
-Nauli kufika ni sh.5000/= ila ukilialia 4000 wanachukua
-Unapanda boat pale Mwaro wa Kirumba, boat zipo kampuni 2; Umia Ujae na Nyachijanja. Zote zimeandikwa Mwanza-Serema.
-Ukifika kule gharama ya kulala guest ni 3000 hadi 2000 unapata.
Jihadhari kuna mabinti sana kule kwa hiyo unaweza kuliwa pesa hadi ukarudi na shati tu na ndala.
Mungu akutangulie.
MKUU HII NIMEIPENDA MNOKijana kwanza hongera kwa mapambano hayo. Ningekushauri ufanye hili kama utapenda inaweza kukusaidia sana.
Nenda Mwanza, panga chumba miezi 3 cha elfu 15 kwa mwezi, chukua godoro la 50elfu. Hapo utakuwa umetumia laki moja.
Pesa iliyobakia nenda kisiwani, ulizia kisiwa cha Bwiro, nenda kule unakuwa unanua samaki wabichi kisha unawabanika, kuna wamama wanafanya kazi hiyo ya kubanika unawalipa kidogo sana.
Samaki wakavu utakuwa unawaleta Mwanza mjini kisha unawauza kwa bei ya JUMLA na kisha unarudi tena kisiwani kuchukua mzigo. Mtaji wa laki tano unatosha kabisa kufanya biashara hii na utapiga faida sana.
Unaweza pia kuwa unawabanika samaki kisha unawapeleka migodini Geita kule utawauzia mama Ntilie kwa faida nzuri sana.
Kama hii biashara utaiona ngumu unaweza kusema hapa kisha nitakushauri biashara nyingine.
Mungu akutangulie.
jamani mbna watu wanatushauli tuje uko migodini kumbe ni kugumu ivoNatumaini mko poa
Nina miaka 24 sasa.nilitoka nyumbani nikiwa ni miaka 22 na kuamua kujitegemea ,niliondoka nyumbani nikiwa na elfu 50 mfukoni nikaenda geita kutafuta maisha.
Sikuwa na ndugu yeyote ,sikuwa na kazi maalum ya kufanya kwa hyo kiasi nilichokuwa napata kiliishia tu kwenye chakula,
Baada ya ugumu wa maisha kuzidi niliamua kuingia machimboni eneo la rwamgasa-KATORO,nimekaa huko pesa nilizokuwa napata ilikuw kidogo sana ,
Sasa mwezi uliopita nimebahatisha kupata millioni 1 na laki 2 baada ya kuuza dhahabu,nimelipa lipa madeni ya watu nimebakiwa na laki 9 nimeziweka MPESA, huku machimboni kugumu sana hasa kama hauna mtaji wa kutosha.
Nimeamua nitoke ili hata hiki nilichokipata kisitekee chote.naombeni ushauri nimefika leo nipo katoro mjini ,nifanye biashara gani ambayo ntakuwa napata elfu 15 kwa siku.
Nahitaji michango yenu ya mawazo wakuu.