Ingia kwenye maduka ya urembo, kama soksi za watoto, soksi za watu wazima, dai, rangi za viatu, kamba za viatu, vijiko, mafuta ya kujipaka, dawa za meno, miswaki, chujio,malapu lapu ya kuogea; brashi za viatu, jagi za plastic, karai ndogo, vikombe vya chai,kontena za chakula,
Vitu hivi vyote, nunua zile ambazo dazani yake yaani pc 12, haizidi 4500.
Ukishanunua hizo bidhaa, nenda katafute spika inauzwa kati ya shilingi 35,000/40000. Kuna za kuchaji na za kuweka betri, utachukua ambayo unaona ni rahisi kwako.
Kisha nenda sokoni na huo mzigo wako, Mwaga hizo bidhaa chini tangaza kila bidhaa 500, tu. Halafu ulete mrejesho.
Sent from my SM-A013G using
JamiiForums mobile app