Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gud luck😊Ahsant ngoja nitafute mbinu
Ila kuwa makn sanaAhsant ngoja nitafute mbinu
Ila kumbka conternal jpya chuo huwa aslmia kubwa huwa wanashda ya pc na cm ,kwaiyo inabd uweze kuwazoea watu fasta, kuwa charm, kuwa smart😊 Worry out
NimekuelewaFanya Business ambayo asilimia 80% wateja wako sio wanachuo na utaweza kuifanya hata baada ya kumaliza chuo
Nasema hivi kwa sababu kwenye biashara inatakiwa uwe na malengo ya muda mrefu sio ile unamaliza chuo na biashara inakufa hapo
Pia wanachuo wana low purchasing power
Mdogo wangu hio sio hela ya boom kweli? Usijitese maisha mafupi haya.Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, ninapesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.
Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.
Karibuni.
Kuuza mayai siyo lazima utage😀😀😀Wazo la hii biashara ni elfu 50 ukitaka mchanganuo! Kuuza mayai siyo lazima utage au uwe unafuga kuku wa mayai
Uza mshikaki,ndizi na kachumbari.Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.
Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.
Karibuni.
Hii ndio wazo nilitaka kumpatia kijana,nashukuru umenisaidia kumpa wazo bora kabisa.Kwanini usifanye biashara ya uwakala ndani au nje ya chuo na kuuza vocha, mtaji hauzidi hata lak 2.5.
Kuna wngn enz izo chuon walkuwa wanauza laptop na cm , walkuwa hawana maduka but walkuwa wanaenda k/koo kunajamaa walkuwa wanawafaham uko hvyo kaz ilkuwa kupga pcha zle cm na laptop kwny maduka zen wao wanapata commission kwny kla mauzo
Hicho ndicho kilichokupeleka chuo??Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.
Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.
Karibuni.
🤣🤣🤣Hata kama sina akili ila nyie nimewazidi
Tumia muda wako kwenye kusoma na kuwa deep zaidi ili uwe competent na kujiwekea nafasi nzuri huko mbeleniNinakwenda na kurudi why part time nisitafute mchuzi
Zingatia hilo kijana maana mshika mawili moja humponyoka.Sawa