mbwiloh
New Member
- Oct 18, 2018
- 2
- 2
Habari za leo wana Jamii Forums,poleni na kazi.
Nina malengo ya kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku,na kutokana na kuwa na hitaji la mtaji wa kuanzisha mradi huu,nimeona vema niuze CD ya nyimbo za Injili ambayo niliwahi kuirecord.Naomba kwa utakayeweza uniunge mkono kwa kununua copy ya CD yangu,naamini kidogo kidogo nitafikia lengo.kwa utakaye hitaji nijulishe ili nikufikishie.Mungu awabariki nyote.
Nina malengo ya kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku,na kutokana na kuwa na hitaji la mtaji wa kuanzisha mradi huu,nimeona vema niuze CD ya nyimbo za Injili ambayo niliwahi kuirecord.Naomba kwa utakayeweza uniunge mkono kwa kununua copy ya CD yangu,naamini kidogo kidogo nitafikia lengo.kwa utakaye hitaji nijulishe ili nikufikishie.Mungu awabariki nyote.