Nina mashaka kama Wanajeshi wa Korea Kusini waliokuwa wanasimamia "martial law" wataweza kupambana na wanajeshi Korea Kaskazini kiume

Nina mashaka kama Wanajeshi wa Korea Kusini waliokuwa wanasimamia "martial law" wataweza kupambana na wanajeshi Korea Kaskazini kiume

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Baada ya Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol kutangaza amri ya utawala wa sheria ya jeshi wanajeshi waliopaswa kutekeleza amri hiyo walionekena walegevu sana, walichukua muda mrefu mno na kujivuta sana kujikusanya na kujipanga, ni kama hawakuwa na utayari wa kutosha.

Pia ukiangilia video jinsi walivyokuwa wanadhibiti raia waandamanaji waliokiuka amri ya Rais wao huwezi kusema ni kama wanajeshi. Wabunge pia waliwazidi nguvu na ujanja hadi wakaweza kuingia bungeni na kupiga kura kupindua amri ya kijeshi ya rais wao.

Hawa wanajeshi wa Korea Kusinini kama wako walegevu na nyoronyoro mno, siku Kim Kiduku wa Korea Kaskazini akifanya shambulio la kushitukiza nafikiri anaweza kupata upinzani mdogo sana kutoka kwao, bora waendelee kulindwa na jeshi la wanajeshi 28,000 wa Marekani tu lililoweka kambi nchini humo.
 
Baada ya Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol kutangaza amri ya utawala wa sheria ya jeshi wanajeshi waliopaswa kutekeleza amri hiyo walionekena walegevu sana, walichukua muda mrefu mno na kujivuta sana kujikusanya na kujipanga, ni kama hawakuwa na utayari wa kutosha.

Pia ukiangilia video jinsi walivyokuwa wanadhibiti raia waandamanaji waliokiuka amri ya Rais wao huwezi kusema ni kama wanajeshi. Wabunge pia waliwazidi nguvu na ujanja hadi wakaweza kuingia bungeni na kupiga kura kupindua amri ya kijeshi ya rais wao. Hawa wanajeshi wa Korea Kusinini kama wako walegevu na nyoronyoro mno, siku Kim Kiduku wa Korea Kaskazini akifanya shambulio la kushitukiza nafikiri anaweza kupata upinzani mdogo sana kutoka kwao, bora waendelee kulindwa na jeshi la wanajeshi 28,000 wa Marekani tu lililoweka kambi nchini humo.
Japan, israel na south korea wana security guarantees kutoka marekani ukiwagusa maana yake unapigana na marekani
 
Fuatilia nchi zote zinasupport ushoga, wanajeshi wake hawawezagi vita vya Ana kwa ana
Vita vya ana kwa ana vinakuaje?

Mfano nchi gani inayaosapoti ushoga imeshindwa kupigana vita vya ana kwa ana?
 
Vita vya ana kwa ana vinakuaje?

Mfano nchi gani inayaosapoti ushoga imeshindwa kupigana vita vya ana kwa ana?
Mwaka 1980's Marekani alijaribu kupeleka jeshi la ardhini Somalia, makomandoo zaidi ya 20 walichinjwa. Pia rejea vita yake na wavietnam. Hizo nchi wazuri wa kushambulia kwa anga ,hasa eneo lisilo na upinzani kama lilojaa wanawake au watoto,hapo zinaperfom mnoo.
 
Baada ya Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol kutangaza amri ya utawala wa sheria ya jeshi wanajeshi waliopaswa kutekeleza amri hiyo walionekena walegevu sana, walichukua muda mrefu mno na kujivuta sana kujikusanya na kujipanga, ni kama hawakuwa na utayari wa kutosha.

Pia ukiangilia video jinsi walivyokuwa wanadhibiti raia waandamanaji waliokiuka amri ya Rais wao huwezi kusema ni kama wanajeshi. Wabunge pia waliwazidi nguvu na ujanja hadi wakaweza kuingia bungeni na kupiga kura kupindua amri ya kijeshi ya rais wao. Hawa wanajeshi wa Korea Kusinini kama wako walegevu na nyoronyoro mno, siku Kim Kiduku wa Korea Kaskazini akifanya shambulio la kushitukiza nafikiri anaweza kupata upinzani mdogo sana kutoka kwao, bora waendelee kulindwa na jeshi la wanajeshi 28,000 wa Marekani tu lililoweka kambi nchini humo.
Ulitaka kuona wanapiga risasi raia na kuua? uko siyo Tanzania ambako vyombo vya dola vina akili zero. Huyo rais alishaingia kwenye 18 za wananchi na alikuwa hatakiwi tena. Mke wake alipokea zawadi ya bag la gharama (dola 1800)bila kufuata utaratibu. Yes dola 1800 tu na siyo kwetu Samia anavaa saa dola ya 50,000 na tunaona ni sawa. Hii ya hali ya hatari ni mawenge yake tu na wananchi wenye akili huheshimu raia wengi na wabunge na siyo mtu mmoja kwa sababu ni rais.
 
Mwaka 1980's Marekani alijaribu kupeleka jeshi la ardhini Somalia, makomandoo zaidi ya 20 walichinjwa. Pia rejea vita yake na wavietnam. Hizo nchi wazuri wa kushambulia kwa anga ,hasa eneo lisilo na upinzani kama lilojaa wanawake au watoto,hapo zinaperfom mnoo.
Miaka ya 1980's Marekani haijawahi kupeleka jeshi lake Somalia kupigana vita, pia wakati wa vita vya Vietnam hakukuwa hata na jimbo moja la Marekani lililokuwa limeukubali ushoga.
 
Wale sio kuku waliokatwa vichwa kama wale mliowazoea, wanaheshimu utawala wa sheria na haki huwezi kupiga na kuua watu hovyo kisa tu Rais katoa agizo.
Nifah hujawahi kuniangusha mdogo wangu,una akili sana.
Hata Mimi naona hivyo,kua hawakutaka kutumia nguvu bila sababu kwa raia walioapa kuwalinda,hata wabunge ni raia pia.
 
Ulitaka waue raia?. Wale sio akina Mafwele wenu.
 
Wale sio kuku waliokatwa vichwa kama wale mliowazoea, wanaheshimu utawala wa sheria na haki huwezi kupiga na kuua watu hovyo kisa tu Rais katoa agizo.
Una akili wabongo wanavyo lala na a kuamka na maisha wanayo ishi kwa tabu na shida mpaka wanawaza ujinga ndo wanafikiria watu bado wanaishi hivyo
 
Vita vya ana kwa ana vinakuaje?

Mfano nchi gani inayaosapoti ushoga imeshindwa kupigana vita vya ana kwa ana?
Huyu ana akili za kikobazi alafu haya majitu hayajui waarabu ndo washenzi wa upuuzi huo
 
Kuna mtu nimeona ananyang'anyana kabisa bunduki na mwanajeshi kizembe sana.
Wewe inaonekana umezoea tawala za ki-CCM. S Korea ina utamaduni wa kidemokrasia. Mabavu kwa raia NO. LAKINI kwa adui kama kazi. Hata Marekani, askari angekuwa na hadhari sana kumfyatulia raia risasi. N Korea kuua raia wao ndiyo kazi kubwa wanayofanya.

Umeona jinsi yule askari alivyoweza kumsukumia pembeni yule mbunge bila madhara. Ingekuwa hapa kwenu kumsogelea tu askari yule mwanamke angefumuliwa kama Mwangosi.
 
Baada ya Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol kutangaza amri ya utawala wa sheria ya jeshi wanajeshi waliopaswa kutekeleza amri hiyo walionekena walegevu sana, walichukua muda mrefu mno na kujivuta sana kujikusanya na kujipanga, ni kama hawakuwa na utayari wa kutosha.

Pia ukiangilia video jinsi walivyokuwa wanadhibiti raia waandamanaji waliokiuka amri ya Rais wao huwezi kusema ni kama wanajeshi. Wabunge pia waliwazidi nguvu na ujanja hadi wakaweza kuingia bungeni na kupiga kura kupindua amri ya kijeshi ya rais wao.

Hawa wanajeshi wa Korea Kusinini kama wako walegevu na nyoronyoro mno, siku Kim Kiduku wa Korea Kaskazini akifanya shambulio la kushitukiza nafikiri anaweza kupata upinzani mdogo sana kutoka kwao, bora waendelee kulindwa na jeshi la wanajeshi 28,000 wa Marekani tu lililoweka kambi nchini humo.
Kipindi us alipoondoa majeshi yake, talibani walikiwasha, askari wote wa serekali, wakageuka mademu, wakawa wanavaa baibui kujificha
 
Back
Top Bottom