Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

[emoji26][emoji23][emoji23][emoji23]
Katuacha pabaya kwakweli kimyakimya
Sijawahi kusikia Rais yeyote ambaye alipata kuongoza hii nchi... Na hakupata lawama... Hata mmoja...! Mwinyi alionekana hana lolote, anaendeshewa nchi na "familia" yake, Mkapa aliitwa mbabe, na akakosolewa sana na sera ya ubinafsishaji, kuuza nyumba za serikali bei chee,Kikwete aliwahi kusemwa kuwa ni kama boksi tu, au nazi, aliyefuata naye alikuwa haambiliki, asiyetumia ushauri wa wanataaluma, katili, aliyenyima uhuru wa vyombo vya habari... Na sasa huyu mama...

Hitimisho weka mwenyewe hapo.
 
Hakuna rais atakayekuja kuwa maarufu na kupendwa hadi amzidi hayati Magufuli, Samia yuko poa ila hamfikii Magufuli lakini mama hana tatizo, msimlinganishe na viwango vya wengine
Kipimo cha mapenzi ya watu kinapimwaje... Hebu fafanua hapo mkuu!
 
Sio mashaka ndivyo ilivyo
Huyu anafanya a mild to highly rated investigation juu ya kujua kinachoendelea baada ya kazi yao kufanikiwa. Inatengenezwa cover kuwalinda wahusika wakuu kwa kuforge narrative za kuongoza mawazo ya watu juu jambo fulani wanalolijua barabara.

Ukirejea posts zake za 2019-2020 utaelewa ninachokieleza!!!

Ha ha ha aaaaaa! Naona kastuka, huyo huyo...anachungulia ha ha haaaa tumekwishakuona ha haaaa!
 

Kuna tofauti kubwa katika mazingira aliyoyapata madaraka JPM na Mama, Jaribu kupeleleza mara nyingi sana maraisi wanaongiani madarakani kwa njia kama aliyoingilia Mama ni ngumu sana kuweza kuiendesha serekali vizuri, huwa wanakosa ushawishi wa kutosha kwenye serekali ni lazima wa straggle.
 
nakubaliana na we

1-gazeti Uhuru rais hatagombea urais 2025

2-ugaidi wa kubuni wa bwana MBOWE

3-hamza hamza hamza

Jwt sijui wanasubiri nini wasomi kama wa guinea hawapo kweli watuokoe?

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Mabadiliko ya uongozi ni magumu kuliko unavyodhan..na pia kwa hii dunia ya 3 na mfumo dume unamfanya mama aongoze kwa tabu sana..kwa africa mama will always b mama hata ufanyaje...so ngumu kufurukuta huku kazungukwa na male dominance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu,kuna kitu nahisi hakiko sawa kwa mama timu jk na magufuri camp,kuna za chini wanasema eti kuna timu ya pm inafanya kazi ya kumpangia hangaya safari nyingi haijajulikana kuna nini nyuma ya pazia

Kuna kitu kipo karibu kulipuka,kuna mgongano wa masirahi kila timu ina wakuu wa nchi

Tusubiri muda
 
Tulia wewe hayo ni maneno ya kimajungu tu
 
Hizo timu zinavaa Jezi za Rangi gani
 
Mwamzushia uchuro PM ili chifu Hangaya ampige chini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…