Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Safi kabisa!

Nashauri ziongezwe! Maana tunapumua baada ya kunyanyaswa kwa miaka 5.

Baada ya kutopandishwa mishahara na madaraja sasa tumeoandishiwa. Nashauri kodi iongezwe mara dufu

Taratiib mkuu. Siasa si za kuchangamkiwa kiasi hiki. Relax. Ukitaka tozo ziongezwe unawatakia mabaya wanyonge wasiohusika; wasiokuwa hata na kazi za kupandishwa mshahara.

Hao akina Mshana Jr. ni washehereshaji tu, maMC wa jukwaa, wala hawaathiriki na tozo. Wametajirika kwa kuuza ndumba. Wanashinda hapa JF kuchokoza mada na kuwachagiza muendelee kukanyagana. Marijani Rajab aliwaita wakaanga mbuyu wanaowaachia wengine kazi ya kuzitafuna.
 
Hakuna movie wala sinema. Hapa ni ule mkono “invisible” unaofanya kazi kuweka sawa mitazamo finyu ya binadamu umefanya yake.

Suala la “caretaker/interim govt” Rais akifariki lilipendekezwa wakati wa mjadala wa katiba awamu ya 4, lakini wazee wa chama wenye maono makuu ya kuishi na kutawala milele waligoma kabisa kukubaliana na point hiyo. Nina hakika walijuta sana mwezi Machi mkono usioonekana uliposhuka ghafla na kupangua ndoto zao.

Sasa sijui itakuwaje manake sasa ndio wamecharuka kabisa. Wanadai suala la katiba mpya si kipaumbele cha wananchi bali wanasiasa wenye uroho wa madaraka! Wala halimo kwenye ilani yao. Eti wananchi wanataka chakula, elimu, maji safi, n.k.
Siku zote adui wako ni mtu wa karibu yako. .ule mkono invisible nao kuna siku utaonja mauti ni swala la muda. Mungu wetu sote.nawaza siku ile alikuwa akijisemea moyoni amka sasa tuone kama una uwezo tena dah😒
 
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema

Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo

Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!

Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE
Genge ata kikundi umewapa hsshima
 
Siwezi bishana na wewe,inawezekana Kuna kitu kweli extraordinarily umekiona,but what I can say is,time will tell,because time is not greedy enough to hide the truth.
because time is not greedy enough to hide the truth.[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Hua najiuliza sana Mbona Hawa vijana kina;

J.Makamba.
Nape
Ridhiwani

Wamekua na furaha sanaa,tena wamekua wachangiaji wazuri wa mada za social media?


Tena wanasifu sana Tozo na awamu hii kama nilivyomskia juzi Ridhiwani.

Lazima hili group ni kubwa na ndo limeshinda kumzibiti SSH.

Lile group liloitwa Sukuma gang wamekaa pembeni na wengine kina POLEPOLE na Gwaji boy wanawekwa sawa Ili wafukuzwe chamani au wanyamazishwe kabisaaaa.

Ndo Mana tunasema nchi ipo Chalinze KWA Sasa na vijana wake,Next Mzee Mangula watampumzisha na kumuweka makamu mwenyekiti watayeweza kumdhibiti na kumuendesha kama walivyoweka shati la Huyu katibu mkuu wao Chongole.
 
Tozo kwenye benk zilianza muda ila hawakutaka kuweka wazi, kama una mtu benk muulize.

Kitu ambacho natamani kiondolewe kwenye katiba ni ile rais akifa, maaidizi wake achukue nchi aiseee hii ni kitu ya kipumbavu.

Ila aliecheza hii movie kuanzia kuondoka jpm aliicheza haswa, mwenyewe yupo amekaa anaset mitambo inaenda kama atakavyo dah.
Udongo haujashiba bado! nao watakwenda kwa shimo
 
IMG-20210910-WA0045.jpg
 
Back
Top Bottom