Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuuNina mashaka tutampoteza CDF siku si nyingi
Yani wee jamaa... Unapenda sana ufaza[emoji23] [emoji23] [emoji23]najua kila kitu
Huyu Mangungo alikuwa chifu wa kabila ganiLeo mama kasimikwa kuwa chifu wa machifu, haya ni matusi ya rejareja.
Ikumbukwe hata Mangungo alikuwa chifu tena mwanaume ila aliingizwa mkenge na Karl Peter's, leo hii huyu bibie anakenua meno hajui hata kukataa, keshaingizwa mkenge dadeki [emoji15]
Acha roho mbaya mkuuKuna wakati nailaumu sana Corona kushindwa kuwapangusa hawa wajinga hapo angetembea na miskafu ya bendera
Nchi inaongozwa na top management ya TISS wakishirikiana na viongozi wa majeshi baada ya kuona mama hana uwezo.Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE
Wangoni
Sijahitimisha kwa kuzingatia mchango wa mtu mmoja. Nina data nyingi na nakutana na wengi haswa wanawake wengiUsilete fitina !
Huwezi ku-concludes jambo kupitia mchango wa mtu mmoja au wachache!
So far kila mtu anayo haki ya Uhuru wa kutoa maoni yake bila kujali jinsia yake!
Mbowe siyo wakuhurumia. Anapambana na hali yake. Hajaomba na wala hahitaji msaada. Jihurumie weweUsiwe mbinafsi, wahurumie watu kama kina Mboe waliko wapate haki zao kwa wakati!
Without any doubt Mkuu and that’s very scary. Hopefully Mabeyo will do something before it’s too late.
Yupo anaandaa royal tourMkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.
Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.
Kabaki anasikika gwajima tu.
Sijui mabeyo anatusikia?
Everything is in the dirty hands now. Samia if won't be warned as early as possible, she may end up into a hole of shit! President need not to trust anyone except herself. She has to question everything on her table. She started well, when they saw they are losing they pulled her back. They are ahead of her. Mshana what you have said is a glance of ice in a big sea. Let's keep waiting, before sun set, the child will be in town.
Tozo kwenye benk zilianza muda ila hawakutaka kuweka wazi, kama una mtu benk muulize.
Kitu ambacho natamani kiondolewe kwenye katiba ni ile rais akifa, maaidizi wake achukue nchi aiseee hii ni kitu ya kipumbavu.
Ila aliecheza hii movie kuanzia kuondoka jpm aliicheza haswa, mwenyewe yupo amekaa anaset mitambo inaenda kama atakavyo dah.
Sijui chuo gani wanafundisha kujenga changarawe juu ya lami nzima isiyo na tatizo.
Sijui tathmin ya kumwaga changarawe kwenye lami kwenye tenda inajazweje na mimi nikashiriki. wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.
hawajali wenye magari tumelipa vingapi na tunalipia mangapi.
Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
Eti wananchi wanataka chakula, elimu, maji safi, n.k.[emoji848][emoji848][emoji848] Katiba inahusika na haya yoteHakuna movie wala sinema. Hapa ni ule mkono “invisible” unaofanya kazi kuweka sawa mitazamo finyu ya binadamu umefanya yake.
Suala la “caretaker/interim govt” Rais akifariki lilipendekezwa wakati wa mjadala wa katiba awamu ya 4, lakini wazee wa chama wenye maono makuu ya kuishi na kutawala milele waligoma kabisa kukubaliana na point hiyo. Nina hakika walijuta sana mwezi Machi mkono usioonekana uliposhuka ghafla na kupangua ndoto zao.
Sasa sijui itakuwaje manake sasa ndio wamecharuka kabisa. Wanadai suala la katiba mpya si kipaumbele cha wananchi bali wanasiasa wenye uroho wa madaraka! Wala halimo kwenye ilani yao. Eti wananchi wanataka chakula, elimu, maji safi, n.k.
Nchi ngumu sana hii, wakati mwingine uwa najiulizaga Watanzania tunataka kitu gani haswa! Ni aina gani ya kiongozi tunayemtaka ambaye atafaa? Nyerere hakufaa, Mwinyi hakufaa,Mkapa hakufaa, Kikwete hakufaa, Magufuli hakufaa,Huyu wa sasa hafai sasa itabidi turekebishe katiba ili ikiwezekana tukakodi kutoka mataifa mengine. Na mara zote hawa watoaji kasoro ubadilika kutokana inategemea ni nani aliyepo madarakani wakati huo hawa watu mara nyingi kama sio mara zote wanakuwa na sababu zao sirini lakini hadharani utafuta sababu nyingine yoyote kuonesha udhaifu wa huyo wanayempinga ili kutafuta uungwaji mkono.