Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Kuna vingi hujui na inahitajika muda mwingi kukuelewesha
Hamna chochote!

Huyu Samia si ndio mliekuwa mnamshangilia juzi tu hapa?

Alipoingia alibadiri timu yote ya wasaidizi wake pale ikulu na mkashangilia sana kwamba afadhali ameondoa masalia ya Jpm huku yeye mwenyewe Samia akiwa salia la JPM.

Si ni huyu ambae hadi katibu mkuu kiongozi ambae ndio maratibu wa mambo yote pale ikulu alimuweka wa kwake?

Wakati ule mnamtukana Magu kwamba anaenda kufungua hadi stend kazi ya mkuu wa wilaya, ila kwa huyu Samia mnasema kuna kundi linampangia ili kumhujumu?


Sikia mkuu,

Siasa za JK, Magu na sasa Samia zimenifunza mambo mengi sana juu ya watz kwahiyo hakuna mbwa yeyote wa kunishawishi kwa chochote,

Mtawadanganya wajinga tu.
 
Hamna chochote!

Huyu Samia si ndio mliekuwa mnamshangilia juzi tu hapa?

Alipoingia alibadiri timu yote ya wasaidizi wake pale ikulu na mkashangilia sana kwamba afadhali ameondoa masalia ya Jpm huku yeye mwenyewe Samia akiwa salia la JPM.

Si ni huyu ambae hadi katibu mkuu kiongozi ambae ndio maratibu wa mambo yote pale ikulu alimuweka wa kwake?

Wakati ule mnamtukana Magu kwamba anaenda kufungua hadi stend kazi ya mkuu wa wilaya, ila kwa huyu Samia mnasema kuna kundi linampangia ili kumhujumu?


Sikia mkuu,

Siasa za JK, Magu na sasa Samia zimenifunza mambo mengi sana juu ya watz kwahiyo hakuna mbwa yeyote wa kunishawishi kwa chochote,

Mtawadanganya wajinga tu.
Nimekuelewa sana komredi!

Chadema ni wasahaulifu kama mbuni!
 
Hamna chochote!

Huyu Samia si ndio mliekuwa mnamshangilia juzi tu hapa?

Alipoingia alibadiri timu yote ya wasaidizi wake pale ikulu na mkashangilia sana kwamba afadhali ameondoa masalia ya Jpm huku yeye mwenyewe Samia akiwa salia la JPM.

Si ni huyu ambae hadi katibu mkuu kiongozi ambae ndio maratibu wa mambo yote pale ikulu alimuweka wa kwake?

Wakati ule mnamtukana Magu kwamba anaenda kufungua hadi stend kazi ya mkuu wa wilaya, ila kwa huyu Samia mnasema kuna kundi linampangia ili kumhujumu?


Sikia mkuu,

Siasa za JK, Magu na sasa Samia zimenifunza mambo mengi sana juu ya watz kwahiyo hakuna mbwa yeyote wa kunishawishi kwa chochote,

Mtawadanganya wajinga tu.
Hiki ndio msingi wa mada yangu ila hujakizingatia ama hujakielewa
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
 
Hiki ndio msingi wa mada yangu ila hujakizingatia ama hujakielewa
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwenye mada yako umechanganya mambo mengi sana na hata hueleweki!


Hivi unaweza kuonesha ni kwa namna gani haya malalamiko yako yanatokana na udhaifu wa katiba iliyopo?

Nlichogundua chadema wengi bado mna mawengewenge ya utawala wa Magufuli.

Yani hata baada ya Magufuli kufariki bado mnahisi kuna vitu vinafeli kwa sababu yake.

Mbaya zaidi mlisifia mapema sana huyu mama, ila mnajaribu kujinasua hapo kwenye hako ka kipengele kwa hoja kwamba mama ni mzuri sana ila makosa yanayotokea kwenye utawala wake ni sababu ya hujuma toka kwa watu wa utawala wa Magu.

Hiyo katiba ndio hiyo hiyo aliitumia hata JK ambae mlimsifu sana kipindi cha Magu.
 
Kwenye mada yako umechanganya mambo mengi sana na hata hueleweki!


Hivi unaweza kuonesha ni kwa namna gani haya malalamiko yako yanatokana na udhaifu wa katiba iliyopo?

Nlichogundua chadema wengi bado mna mawengewenge ya utawala wa Magufuli.

Yani hata baada ya Magufuli kufariki bado mnahisi kuna vitu vinafeli kwa sababu yake.

Mbaya zaidi mlisifia mapema sana huyu mama, ila mnajaribu kujinasua hapo kwenye hako ka kipengele kwa hoja kwamba mama ni mzuri sana ila makosa yanayotokea kwenye utawala wake ni sababu ya hujuma toka kwa watu wa utawala wa Magu.

Hiyo katiba ndio hiyo hiyo aliitumia hata JK ambae mlimsifu sana kipindi cha Magu.
Sema hujaelewa nilichoandoka na siwezi kwakuwa hicho ndio kiwango cha ufahamu wako
Nilimsifia mama ndio tena nilimsifia sana..lakini kilichotokea ni wachache wenye uelewa mpana ndio wanaweza kuelewa
 
Nimekuelewa sana komredi!

Chadema ni wasahaulifu kama mbuni!
Mimi nawaona ni wajinga tu,

Eti hujuma,

Kama ni hujuma ni udhaifu wake mwenyewe kutojua kwamba anahujumiwa na watu wa karibu yake.

Hivi Samia yeye ni roboti kwamba kila kosa anatupiwa lawama mwingine?
 
Sema hujaelewa nilichoandoka na siwezi kwakuwa hicho ndio kiwango cha ufahamu wako
Nilimsifia mama ndio tena nilimsifia sana..lakini kilichotokea ni wachache wenye uelewa mpana ndio wanaweza kuelewa
Hizo sifa zako za kumsifia mama mapema ndio zinazokufanya uweweseke sasa hivi.

Na siyo pekeako mko wengi sana.!

Na hakuna cha uelewa mpana wala nini. Sema tu kwamba ni ushabiki tu wa siasa za hapa na pale.

Lisu wenu aliwatahadhalisha toka mwanzo kwamba ni mapema mno kumsifia mama.

Lema juzi aliwaambia live kuwa kuna kundi la watu wapumbavu wanajaribu kumtenganisha Samia na makosa ya kwenye utawala wake, kwamba ni hujuma.
 
Hizo sifa zako za kumsifia mama mapema ndio zinazokufanya uweweseke sasa hivi.

Na siyo pekeako mko wengi sana.!

Na hakuna cha uelewa mpana wala nini. Sema tu kwamba ni ushabiki tu wa siasa za hapa na pale.

Lisu wenu aliwatahadhalisha toka mwanzo kwamba ni mapema mno kumsifia mama.

Lema juzi aliwaambia live kuwa kuna kundi la watu wapumbavu wanajaribu kumtenganisha Samia na makosa ya kwenye utawala wake, kwamba ni hujuma.
Mbona unachanganya mada sasa..kumbe mimi kumsifia Samia kilikuuma sana!?[emoji41][emoji23][emoji23]
 
Si kitu ya kuuliza taratibu.
1631177649501.png
 
Historia huwa haikosei. Tanzania sio ile tuliyoijua miaka yote. Iliyokuwa tofauti na nchi zingine za maziwa makuu. Nayo huenda inaelekea huko huko kwenye political conflicts. Ni suala muda tu.
 
Historia huwa haikosei. Tanzania sio ile tuliyoijua miaka yote. Iliyokuwa tofauti na nchi zingine za maziwa makuu. Nayo huenda inaelekea huko huko kwenye political conflicts. Ni suala muda tu.
God forbid!
 
Back
Top Bottom