Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Litakuwa kosa la mwaka.Nina mashaka tutampoteza CDF siku si nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litakuwa kosa la mwaka.Nina mashaka tutampoteza CDF siku si nyingi
Wanajiita CCM asili. Waliwahi kusema marehemu mshamba.Kuna watu fulani wakifa wote na vizazi vyao ndio nchi mpaka chama ccm kitakuwa salama.
Ila to late maana watoto zao wameshakuwa na wajukuu.
Umeshawahi kusikia miaka ya nyuma japo ni siri sana “mtoto wa jamhuri”
Hawa kwa sasa wanawatoto ila babu zao bado wapo na kwani wanachelewa kufa
aisee!! amepotezwa kiukweli. Kila kitu anafanya mama.Unaweza kufanyiwa maombi mabaya apanguswe na kale kaugonjwa... Hivi msaidizi wa mkuu yupo wapi?
duh!!Endelea kuota! Number moja anamuhitaji sana CDF zaidi ya mtu yoyote kweny Nchi hii! CDF ana miaka 64 na utashangaa atapiga hadi 66 huko!
Kipindi Magu amekata moto, wahafidhina, walikua washapanga kabisa,kwenda mwambia Bi mdashi ajiuzuru u Makamu wa Rais, kwamba Magu akizinduka anampiga chini, Maza alikomaa baada yakupewa taarifa na CDF! Na ndiyo CDF alikomaa Maza apewe Nchi, bila CDF Rais wa sasa hivi angekua kidoti yule kiongozi wa ile ofisi iliyopo Dodoma, yenye majukumu yakutunga sheria!
hahaaaaa!Bado nakipenda kifanyio changu na kilinge nimeshakigawa[emoji24]
Possibly tumeanza kumkumbuka MaguKaka, nimeshangaa sana mambo ya huyu mama. Yaani kabisa ameacha ofisi na kwenda kuamua 'kuigiza movie' badala ya kushughulika na serious matters. Wapo watu wanatetea hii kitu kwamba hata Kagame 2018 aliigiza filamu ya Royal Tour. Kwangu mimi this doesn't make sense at all. Yapo mambo mengi na ya msingi sana yanahitaji uamuzi wa Rais na siyo huu utumbo unaofanyika sasa
Vinywa vinaona aibu kukiri. Lakini mioyo inakiriPossibly tumeanza kumkumbuka Magu
Nchii hii unajua ina pesa kiasi gani? Au unadanganyika na maneno ya wanasiasa? Eti alivyoapishwa anajisemesha eti hakukuta pesa ilienda wapi? Siasa ni mchezo mchafu.kuelewa ni ngumu.
Nini maana ya jina Hangaya?Chief Hangaya anafeli sana
Duh!.Nchii hii unajua ina pesa kiasi gani? Au unadanganyika na maneno ya wanasiasa? Eti alivyoapishwa anajisemesha eti hakukuta pesa ilienda wapi? Siasa ni mchezo mchafu.kuelewa ni ngumu.
Endelea kuitizama hii drama mwisho wake kuna visiki lazima viondolewe watimize malengo yao.
Bora mama mara milioni kuliko sukuma gengi. Aaaah ninapumua aiseeTimu ipi?
Alipoingia ikulu alitimua timu yote ya pale ikulu akaweka ya kwake!
Na mlishangilia kweli humu mkisema sukuma gang out.
Sasa hivi vilio vyenu havitawasaidia chochote
Cha kustaajabisha wanawake ndiyo wanaongoza kwa kumchukia mama mwenzao. Kweli wanawake hampendaniNdio hako kakundi kanaongoza nchi maza kashapangiwa majukumu yake ndio haya tuyaonayo,.
Eeh kama kuku mwenye mdondoL
Kirahisi ivooo mkuu??
mkuu kwa heshima ya jpm naomba uwaache hawa kuku peke yao humu,somo wamelielewa hata mwaka bado[emoji23][emoji23][emoji23]Mabeyo yeye siyo gang?
Na bado mpaka maji muite mma