Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Cha kustaajabisha wanawake ndiyo wanaongoza kwa kumchukia mama mwenzao. Kweli wanawake hampendani


Usilete fitina !

Huwezi ku-concludes jambo kupitia mchango wa mtu mmoja au wachache!

So far kila mtu anayo haki ya Uhuru wa kutoa maoni yake bila kujali jinsia yake!
 
Kama amezidiwa nguvu na dhamiri yake ni safi basi aachie ngazi. Short of that, she has conceded and she is part of the whole shit. Wala haina haja ya kuendelea kumpamba kwa lugha laini. Kwa mwendo huu na yeye anakuwa mchafu tu
Kaka sio rahisi kama unavyodhani.. I think she's 'under siege' uwepo wake hapo juu ni faida kwa wengine wanaojipanga kwa ya baadae
 
Kaka sio rahisi kama unavyodhani.. I think she's 'under siege' uwepo wake hapo juu ni faida kwa wengine wanaojipanga kwa ya baadae
If this is it, she's an accomplice to the evil plan. There's no way she can be exonerated therefrom. I'll be a last fool to believe that she's 'under siege'.
 
If this is it, she's an accomplice to the evil plan. There's no way she can be exonerated therefrom. I'll be a last fool to believe that she's 'under siege'.
Hebu tuupe muda wakati... It can be anything! OR 'else'!
 
Mkuu, tusilaumu watu.

Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.

Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.

Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.

Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.

Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Truth %
 
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema

Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo

Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!

Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE

Bila shaka kipindi hichi ramli nyingi zitapigwa juu raisi huyu inachekesha sana wakati wa Magu alikua hataki kabisa kusikia mtu anafungua mdomo wake juu ya katiba midomo yote ilipigwa zipu
Huyu mama kasikia kilio cha katiba na ameahidi kulipa nafasi muaafaka ktk shughuli zake bado analaumiwa ama kweli fadhila ya punda ni mateke
 
Bila shaka kipindi hichi ramli nyingi zitapigwa juu raisi huyu inachekesha sana wakati wa Magu alikua hataki kabisa kusikia mtu anafungua mdomo wake juu ya katiba midomo yote ilipigwa zipu
Huyu mama kasikia kilio cha katiba na ameahidi kulipa nafasi muaafaka ktk shughuli zake bado analaumiwa ama kweli fadhila ya punda ni mateke
Ndio binadamu tulivyo au unasemaje papaayenga
 
Nawatafakari wajukuu zangu siku za usoni wataponiuliza maswali magumu na mimi kama UVCCM nilikuwa wapi miaka yote hiyo..

UVCCM wenzangu tujitathimini sana..
 
E-12KwcWQAMlVv8.jpg
 
Hizo sifa zako za kumsifia mama mapema ndio zinazokufanya uweweseke sasa hivi.

Na siyo pekeako mko wengi sana.!

Na hakuna cha uelewa mpana wala nini. Sema tu kwamba ni ushabiki tu wa siasa za hapa na pale.

Lisu wenu aliwatahadhalisha toka mwanzo kwamba ni mapema mno kumsifia mama.

Lema juzi aliwaambia live kuwa kuna kundi la watu wapumbavu wanajaribu kumtenganisha Samia na makosa ya kwenye utawala wake, kwamba ni hujuma.

Lawama juu ya mama ni lawama za kipofu anaye jaribu kuvuka barara kwa miluzi mingi na kelele anazopingwa na watu
hebu iondoe akili katika mgandamizo uwe huru kufikiri
1. Toka alipokufa magufuli ni mradi upi
Umesimama kutekelezwa.
2. Toka kufa Maguuli kuna mabadiliko yepi
Katika nyaja za uzalishaji na ukusanyaji wa kodi uliodorora
3.Toka kufa Magufuli ni lipi lilo haribika?

Ukiyapata hayo ndio tuanze kumjadili mama tusiwe na chuki za kiujumlajumla kwa vile hajakutana na wapinzani kuzugumza basi kawa mbaya huo ni upuuzi.
 
Kama amezidiwa nguvu na dhamiri yake ni safi basi aachie ngazi. Short of that, she has conceded and she is part of the whole shit. Wala haina haja ya kuendelea kumpamba kwa lugha laini. Kwa mwendo huu na yeye anakuwa mchafu tu

Kazidiwa nguvu katika lipi? kwa kufanya Hiyo Royal Tour ? Kama nihilo kweli vichwa vimeoza kufikiri.
Bear in ur mind watu wa zanzibari huwa makini sana na kwa asili ni waelewa zaidi unavyofikiria halafu wanasubira zaidi unavyo fikiria wewe hawakurupuki na katu hawawezi kuendeshwa kama unavyofikiria
 
Kazidiwa nguvu katika lipi? kwa kufanya Hiyo Royal Tour ? kima nihilo kweli vichwa vimeoza kufikiri.
Bear in ur mind watu wa zanzibari huwa makini sana na kwa asili ni waelewa zaidi unavyofikiria halafu wanasubira zaidi unavyo fikiria wewe hawakurupuki na katu hawawezi kuendeshwa kama unavyofikiria
Okay
 
Back
Top Bottom