johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani Mpango yuko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kumsikiliza lissuHabari zenu wakuu,kuna kitu nahisi hakiko sawa kwa mama timu jk na magufuri camp,kuna za chini wanasema eti kuna timu ya pm inafanya kazi ya kumpangia hangaya safari nyingi haijajulikana kuna nini nyuma ya pazia
Kuna kitu kipo karibu kulipuka,kuna mgongano wa masirahi kila timu ina wakuu wa nchi
Tusubiri muda
Tunaona mara Serengeti mara kwa machifu. Kama vilevile mara Tanga mara iringa.Habari zenu wakuu,kuna kitu nahisi hakiko sawa kwa mama timu jk na magufuri camp,kuna za chini wanasema eti kuna timu ya pm inafanya kazi ya kumpangia hangaya safari nyingi haijajulikana kuna nini nyuma ya pazia
Kuna kitu kipo karibu kulipuka,kuna mgongano wa masirahi kila timu ina wakuu wa nchi
Tusubiri muda
Hasikiki kabisa. Au anajipanga kuapishwa??Kwani Mpango yuko wapi?
Waswahel wanasema lisemwalo lipo kama halipo lajaHabari zenu wakuu,kuna kitu nahisi hakiko sawa kwa mama timu jk na magufuri camp,kuna za chini wanasema eti kuna timu ya pm inafanya kazi ya kumpangia hangaya safari nyingi haijajulikana kuna nini nyuma ya pazia
Kuna kitu kipo karibu kulipuka,kuna mgongano wa masirahi kila timu ina wakuu wa nchi
Tusubiri muda
Kukiwa na katiba imara gender sio ishu kabisaMabadiliko ya uongozi ni magumu kuliko unavyodhan..na pia kwa hii dunia ya 3 na mfumo dume unamfanya mama aongoze kwa tabu sana..kwa africa mama will always b mama hata ufanyaje...so ngumu kufurukuta huku kazungukwa na male dominance
Sent using Jamii Forums mobile app
"...how shame is that..." Jifunze kwanza sarufi sanifu ya lugha ya kiingereza.Unamzungumzia batuli mcheza movie?
Hahahahaha eti kutangaza utalii,how shame is that?
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Ndani ya kakundi hako kadogo yuko pm mmoja wa zamani aliyejiita mtoto wa Mkulima, haonekani hadharani lakini gizani yumo
Pamoja na mapungufu yake, JPM alikuwa ana uwezo wa kumiliki maamuzi yake katika kila jambo. Hili lilimfanya ajiamini na kusimamia mawazo/maamuzi yake hata kama yalipingwa na ulimwengu mzima.
Sasa kwa mama yetu ni kama vile haamini bado kuwa yeye ndie raisi, ni kama vile hajui nguvu aliyokuwa nayo na mbaya zaidi ni wazi kaweka bayana kwa washauri wake kuwa hana dira. Hili linawapa nguvu wasaidizi wake kufanya maamuzi bila kumshirikisha ipaswavyo ama kupindisha uhalisia hasa wa athari ya maamuzi hayo. Hii inamgharimu mama pale athari inapokuwa hasi, inabidi kutoa kauli kutuliza jazba ambapo in reality linafikirisha juu ya alikuwa wapi mambo yakiamuliwa.
Japo kuna baadhi ya watu watapinga kwa vile wamampenda mama, ila ni wazi mama hajui anakokwenda, hana dira na hana kauli katika maamuzi yake.
Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.
Unajua kweli unachokiongea??. Ni mara mia uongozwe na fisadi sio jeshi. Goddammit huone mifano haihapa tuongozwe kijeshi tu maana hawa pesa ikitakiwa ni kuchukua akaunt za mafsad wa ccm bac nchi ina simama
Acha chuki za kipumbavu wewe! Huyo JIwe ka-reform nini zaidi ya kuua watu, na kuwafanya watu waishi kwa mashaka kipindi chake chote alichoongoza?! Huyo Jiwe ka-reform nini zaidi ya kutuachia miradi kichaa kama ndege?! Huyo Jiwe ka-reform nini zaidi ya kuelekeza mali za umma kijijini kwake?! Huyo Jiwe ka-reform nini zaidi ya kujaza watu wa kwao serikalini na kwenye idara zake? Umeumia baada ay kuondolewa nani?! Kalemani, au? Yaani bora CCM itawale milele kuliko kuwa na watu wenye chuki aina yako kwa sababu watu aina yenu ndio ambao wanaifanya dunia isiwe na amani kokote waliko! Na wafu aina yako ndo wale wakipata madaraka wanajaza ukoo wao kila ofisi!! Shame on you na uchafu wako wa ukanda, udini na ukabila!Always tunasema ; Hii jamii ya pwani ikiongoza nchi, ni kweli nchi inaonekana haina VURUGU lakini nchi huwa inaharibiwa na kuoza kabisa ; baada ya hapo reform inahitajika sana.
Alitoka Mkwere , JPM alikuwa na kazi kubwa ya reforms , mpaka ikafikia hatua anatumia nguvu kusawazisha nchi , he was very much successful on that. Alitoka mzee ruksa, nchi ilioza, akaja Ben, the struggle was really
Yaani Hii jamii kazi yao ni kuharibu tu kuacha kila kitu kijiendeshe, nchi inakuwa kama shamba la bibi, nchi inakuwa haina control
Leo hii watanzania wanaona tabu hata kutumia miamala yao, control control
F%^^K off ,