Haya ndiyo yale wengine tuliyaona 2014 kwamba Lisu na genge lake hawakujua priority ilikuwa nini kwenye lile bunge la Katiba.
Wao Priority yao ilikuwa Kura ya "UWAZI" Kura ya "SIRI" Priority yao ilikuwa Serikali "TATU"
CCM ni mafundi, waliwatega mtego wakategeka, Leo wanakumbuka kwamba bila Tume huru CCM haichomoki.
Mtavuna mlichokipanda 2014
Nimeshasema CCM ni mafundi, walitega mtego, Kina Lissu wakauingia. Hilo tuMkuu ungeanzisha chama chako ili udai tume huru. Kilichoendelea kwenye bunge lile la katiba tayari ccm walikuwa na majibu yao mfukoni.
Jiwe ni mpango wa Mungu kwa taifa letu pendwa, Tz. Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio ilikuwa fursa ya kuleta Tanzania mpya ya haki na amani lakini kwa sababu azijuazo Mungu hiyo fursa ikatoweka kinyemela! Sasa fursa nyingine ni ubabe wa Jiwe. Ubabe wa Jiwe ni baraka ya kuwaamsha waliokuwa wamelala kuamka kama Moi alivyoisadia Kenya.Mpango mzima wa wizi wa matokeo huanzia kwenye;
1. Kuandaa idadi ya wapiga kura - lazima hapa data ziwe coocked ili kuja kuhalalisha uongezaji wa kura upande wa CCM bila kuzidi idadi ya waliojiandikisha.
2. Uwepo wa vituo hewa - hii hitumika zaidi katika maeneo CCM ilipo na nguvu. Lengo ni kuongeza kura zaidi za urais kupitia kisingizio cha kushinda ubunge. Mbinu hii hutumika sana kwenye maeneo wapinzani wasiopo na nguvu.
3. Utumaji wa matokeo NEC badala ya kutangaza matokeo ya Urais kila kitu - hii husaidia ku monitor mwenenndo mzima wa idadi ya kura wanazoachwa nyuma CCM ili kuona jinsi ya kutwist vitu na kuongeza kura kwa CCM kufidia na kuzidi zile za wapinzani.
4. Kuamua tu kutangaza kisichokuwepo - inaootoke kila njia ni ngumu, maandalizi ya kiulinzi na usalama huandaliwa ili kutangaza kwa nguvu kwa kutumia Sheria dhaifu ya matokeo ya urais kutohojiwa popote.
Sina hakika kama upindishaji wa matokeo utatoa matokeo Salama mwaka huu.
Huenda historia ikawekwa na mwiko ukavunjwa. Stay tune.
Si mlikuwa nnahamasishana humu msiende kuhakiki taarifa zenu?
Nimeshasema CCM ni mafundi, walitega mtego, Kina Lissu wakauingia. Hilo tu
Data ni kuwa hiyo idadi ya tume ya uchaguzi ni ya kupika. Watanzania tunakaribia 60m, inawezekana vipi watu 29m+ kujiandikisha kupiga kura? Yaani kila watu wawili mmoja kajiandikisha kura, jambo hilo sio kweli kabisa. Kama maneno marahisi watu wote wenye miaka 18 na kuendelea wamejiandikisha kupiga kura. Kama NEC ina idadi fake ya wapiga kura, hata matokeo itatangaza fake.
Leteni idadi yenu basi ya hao wapiga kura mnaowajua nyinyi tuone
Ya kwetu sisi itakuwa ya kweli, na sio hiyo ya maagizo ya Magufuli.
Ndio maana tunaishangaa NEC iweje kuna watu walikuwa wanahamasishwa wasijiandikishe ila wao wana idadi kuwa watu wote wamejiandikisha!? Yaani kwa ujumla hujatetea bali ndio unazidi kuweka utata.
Watu walijitokeza ndiyo hao 29 mil hata Kama mliwakataza
Tuwe 59m+, kisha waliojiandikisha wawe nusu yake, yaani watu wote wenye miaka 18 na kuendelea! Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
Tuseme milioni 20 ni wale walijiandikisha mwaka 2015 na hao 9 milioni ni wale wapya hapo vipi
Kwani huko ufipa huwa mnakusanya kadi za kura za wanachama wenu ili kupata idadi ya watakao wapigia kura
Unataka kuniambia Ccm inataka iondoke madarakani, sahau hilo mkuu. Chama cha siasa kinataka kushika dola, na kama kuna mwanya wowote kinautumia. Na Ccm inafanya hivyo, chadema wangefanya hivyo n.k.Huo ni ufundi au utoto? Watu wanataka katiba kwa ajili ya utawala mzuri wa nchi, wao wanaweka uccm kwenye katiba! Halafu na ww unaongea kwa bashasha kama ni kitendo cha maana, kumbe unashabikia upuuzi.
Kama hujajiandikisha wewe ulie tu!Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.
Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:
1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%
Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.
Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Point yangu:
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo
1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)
2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)
3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.
Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?
Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.
Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Mlisema hampigi kura mpaka Katiba Mpya sasa imekula kwenu! Tulieni tu ili tarehe 28/10/2020 tuwakate vichwa!Huo ni ufundi au utoto? Watu wanataka katiba kwa ajili ya utawala mzuri wa nchi, wao wanaweka uccm kwenye katiba! Halafu na ww unaongea kwa bashasha kama ni kitendo cha maana, kumbe unashabikia upuuzi.
Yatakayomkuta Mwenyekiti wa NEC ni raha na usalama wa hali ya juu kidhamira na kiutendaji kwani anasimamia na atasimamia haki MWANZO MWISHO.Semistocles Kaijage amaeamua kwa makusudi kucheza na akili za watanzania, ila ajiandae kwa yatakayomkuta.